acha kuzeeka vibaya. hao ndo wenye maamuzi. wengine ni geresha tu. hivi mwenyekiti au katibu akiamua ni nani wa kumpinga? umesahau makamu mwenyekiti aliyepita, said Arf alikuwa akichaguliwa hata watu wa kuongea nao? usifikiri sisi ni wajinga.
Wakati mwingine jamani mkiandika vitu hata kama ni vya kishabiki basi angalau muandike kama mna akili. Sasa ili angalau ujaribu kuonesha ulinganifu wa unachotaka kuonesha. Badala ya 'kupick and choose' ungejaribu kuonesha kwa mfano Makamu Mwenyekiti wa pande zote mbili wanatoka wapi; Manaibu wanatoka wapi n.k sasa ukichagua watu wachache tu ni kuabisha kile ambacho Mwenyezi Mungu amekupa - akili.