Hatimae CHADEMA yafanya kweli katika propaganda ya muda mrefu

Hatimae CHADEMA yafanya kweli katika propaganda ya muda mrefu

Uvivu wa kusoma, kufikiri na fanatism (ushambenga/ushabiki mandazi) is a form of metal desease!! maana kwa mtu mweledi kabisa anyefuatilia real issues na yuko objective kabisa asiye na bias au chuki binafsi alitakiwa kukumbuka vitu vya kawaida kabisa!
Hebu angalia hapa chini unipe tafsiri yake kwa upande wa CCM tangu Uhuru
Kutoka Kaskazini
1.Julius Nyerere - Rais
2. Joseph Warioba - PM
3. Edward Sokoine - PM
4. Edward Lowasa - PM
5. Cleopa Msuya - PM
6. Freddy Sumaye - PM
7. Augustine NJI Mrema - Naibu PM
8. Pius Msekwa - Katibu Mkuu
9. Ab. Kinana - Katibu Mkuu
10. Wilson Mkama - Katibu Mkuu
11. Yusufu Makamba - Katibu mkuu

Linganisha kutoka Kusini
1. Ben Mkapa - Rais
2. Rashid Kawawa - PM
3. Peter Pinda - PM
4. Horace kolimba - Katibu Mkuu


Chadema; chadema; Chadema roho zinawasimama; akili inaganda watu wazima hovyooooo; hebu wacheni hizo!! Bs.


Chadema yadhihirisha ubaguzi wa kikanda,Sasa
1. Mwenyekiti (Mbowe)-Mkaskazini
2. Katibu mkuu (Slaa)-Mkaskazini
3. Naibu katibu mkuu(Mnyika)-Mk askazini.
4. Mwenyekiti Bawacha (Mdee) -Mkaskazini.
5. Mweka hazina-Mkaskazini

Duuuh,Mwanzo nilijua hoja ya ukanda kwa CHADEMA ni propaganda kumbe ni FACT.

Wale wa kukanusha naombeni mtueleze sifa ya ziada walizonazo watanzania wanaotoka Kaskazini kuliko wanachadema wa kutoka mikoa mingine,la sivyo mnataka tuamini kuwa CHADEMA wenye akili ni watu wa
Kaskazini.
 
  • Thanks
Reactions: Ptz
Hao hao ndio waliochaguliwa kutuvusha kutoka ng'ambo hii hadi ile nyingine, mashetani mtasema hadi makoo yawakauke
 
Kama na post kama hii unalipwa, basi nape anatumia makamasi kufikiria
 
Chadema yadhihirisha ubaguzi wa kikanda,Sasa
1. Mwenyekiti (Mbowe)-Mkaskazini
2. Katibu mkuu (Slaa)-Mkaskazini
3. Naibu katibu mkuu(Mnyika)-Mk askazini.
4. Mwenyekiti Bawacha (Mdee) -Mkaskazini.
5. Mweka hazina-Mkaskazini

Duuuh,Mwanzo nilijua hoja ya ukanda kwa CHADEMA ni propaganda kumbe ni FACT.

Wale wa kukanusha naombeni mtueleze sifa ya ziada walizonazo watanzania wanaotoka Kaskazini kuliko wanachadema wa kutoka mikoa mingine,la sivyo mnataka tuamini kuwa CHADEMA wenye akili ni watu wa
Kaskazini.

Sikweli acha kupotosha hizo ni hoja za uke wenza Mnyika katokea Magharibi Ngara ingawa yupo Mashariki Dar kama Mbunge, Yupo Salum Mwalimu Zanzibar, Yupo Protas wa Bavicha Mwanza, yupo Prof Safari
 
Acha umbea wewe,na acha kufikiri kwa makalio,
Changanua team nzima ya viongozi ndipo uandike umbea wako
 
Mwulize Safari kama anakujua kwao kama si Kaskazini. ULIWAHI KUSIKIA MNYAMWEZI ANAITWA SAFARI. Hawa wengine vicheche ndio nani katika chamakama si dodoki tu. M/kiti/Katibu/Naibi Katibu Mkuu/M/Kiti wa Bawacha/M/kiti Bavicha aaahaaa wacha uzwazwa jitambue Bavicha
 
Chadema yadhihirisha ubaguzi wa kikanda,Sasa
1. Mwenyekiti (Mbowe)-Mkaskazini
2. Katibu mkuu (Slaa)-Mkaskazini
3. Naibu katibu mkuu(Mnyika)-Mk askazini.
4. Mwenyekiti Bawacha (Mdee) -Mkaskazini.
5. Mweka hazina-Mkaskazini

Duuuh,Mwanzo nilijua hoja ya ukanda kwa CHADEMA ni propaganda kumbe ni FACT.

Wale wa kukanusha naombeni mtueleze sifa ya ziada walizonazo watanzania wanaotoka Kaskazini kuliko wanachadema wa kutoka mikoa mingine,la sivyo mnataka tuamini kuwa CHADEMA wenye akili ni watu wa
Kaskazini.
ni sawa tu mkuu hakuna kosa. cdm ina wafuasi kaskazini sehemu nyingine za nchi hata hawafahamiki. ajabu eti wanajidanganya na kukubali uongo wao kwamba wao ndio sauti ya wananchi.
 
Mdee ni Mkaskazin kwanini achaguliwe Ubunge KAWE AU KAWE wapiga kura wote ni wa Kaskazini na Kwa Mnyika Jimbo la Ubungo vipi na VIPI Waziri WAKUU wa staafu kama LOWASA, SUMAYE, MSUYA, SOKOINE na kwanini Wabunge wa KASKAZINI wana umaarufu mkubwa kuliko wa kanda zingine Mfano OLESENDEKA, ANNE KILANGO, NASSARI, LEMA, MAGHEMBE, SELASINI, ndesamburo nk?
 
Ndio Tatizo la kufikiria kwa kutumia Makalio. Hivi hawa walijichagua au wamechaguliwa? Propaganda nyingine ni za kipuuzi sana. Na hio ndio thinking capacity yenu ilipoishia hapo

Huyo mshenzi sio kwamba hajui bali ni sawa na mtu anayeamua kutoa makalio yake kwa kisingizio kuwa panawashaaaaaa
 
Prof.Abdallah Jumbe safari amewekwa kama shotu mbele ya gari na kwakuwa Safari anajitambua subilini muone muda simlefu mizengwe itaanza angalia wakaskazini walivyo jipanga yani yule msagaji ndio m/kiti wa akina mama Ukistajabu ya mussa utaona ya firauni

Akili zako na jina lako vinaendana
 
Mhh! hapa pagumu kidogo. Lakini tusonge mbele tuone inakuaje!
 
Chadema yadhihirisha ubaguzi wa kikanda,Sasa
1. Mwenyekiti (Mbowe)-Mkaskazini
2. Katibu mkuu (Slaa)-Mkaskazini
3. Naibu katibu mkuu(Mnyika)-Mk askazini.
4. Mwenyekiti Bawacha (Mdee) -Mkaskazini.
5. Mweka hazina-Mkaskazini

Duuuh,Mwanzo nilijua hoja ya ukanda kwa CHADEMA ni propaganda kumbe ni FACT.

Wale wa kukanusha naombeni mtueleze sifa ya ziada walizonazo watanzania wanaotoka Kaskazini kuliko wanachadema wa kutoka mikoa mingine,la sivyo mnataka tuamini kuwa CHADEMA wenye akili ni watu wa
Kaskazini.
[/QUOTE
kwani kuna wa mashariki na kusini walinyimwa fomu za kugombea acha ubaguzi tunataka maendeleo ya nchi sio flani katokea wap
 
Haya yanayoandika ----- ndo yaleyale yanayoitwa majembe,kweli lumumba hakuna kitu yaani hata uongo hamuuwezi
 
Sidhani km kuna ukweli labda tuuuzwe uwiano wa wajumbe kutoka kila mkoa
 
Pelekesha propaganda chafu huko,zimalizie hukohuko lumumba
 
KAma hujui uliza. nani alikwambia John Mnyika ni Mkasikaskazini au Mchagga sijui? Nadhani unadanganywa na jina Mnyika jina la Kipare lakini ukweli yeye ni Msukuma ila mama yake ndiye Mpare naye alichukua jina la Kipare kwa sababu ya mama yake. Mlianza na Ukatoliki ukawashinda Mkaja Ukristo, umewashinda mkaja Uchagga, umewashinda sasa mnakuja na hoja ya ukaskazini
Chadema yadhihirisha ubaguzi wa kikanda,Sasa
1. Mwenyekiti (Mbowe)-Mkaskazini
2. Katibu mkuu (Slaa)-Mkaskazini
3. Naibu katibu mkuu(Mnyika)-Mk askazini.
4. Mwenyekiti Bawacha (Mdee) -Mkaskazini.
5. Mweka hazina-Mkaskazini

Duuuh,Mwanzo nilijua hoja ya ukanda kwa CHADEMA ni propaganda kumbe ni FACT.

Wale wa kukanusha naombeni mtueleze sifa ya ziada walizonazo watanzania wanaotoka Kaskazini kuliko wanachadema wa kutoka mikoa mingine,la sivyo mnataka tuamini kuwa CHADEMA wenye akili ni watu wa
Kaskazini.
 
Back
Top Bottom