MZEE MKUBWA
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 4,094
- 11,498
Msemaji wetu
Srrikali imriblock hiyo App ili istumke TzKitambo kidogo lakini me nikitaka kuitumia huwa haionyeshi chochote, inaload tu
hahahaha mbunge wa mitandaonimheshimiwa mbunge amerejea
Hivi kama comments are nonsense huoni wamejifunza kwa wale wanaoshangilia akiongea magufuli au unaonaga akiiongea cha maana wakati watu wanashangiliaYou shallow minded..unaangalia vitu on the surface...unapaswa kuwa analytic (kaa kimya nakufundisha)..unapaswa kuangalia kama hao watu wamepost utumbo kama uliopost wewe au ni sensible comments
Mkuu utapata kazi kumuelekeza mtu ambaye hayuko tayari kuelewa.What if kama insta wenyewe walimwambia account yako itarudi kuanzia tr. 15?
Hujawahi kurenew line wakakwambia account yako ya pesa itakua activated baada ya SAA 72?
Sasa umeandika nini hapo?au ulikua umeiba simu ya shemeji yako nn?sasa unaogopa kukutwa nayo?Srrikali imriblock isitimoke Tz
suluhisho install FREE VPN ndio itafunguka
Hapo Ndiyo kuna mfanya awe hurupengine kuwa kwake nje ya nchi kumemsaidia sana....
Kawa sehemu ya watu kupumulia stress zaoMbunge huyu maana anaaminiwa kinoma
Hizo ni taarifa mbaya sana kwa magambaNamuona lemutuz anaharisha huko
MANGE SIO EXPANSION JOINT LENU WEMA WE KAHABA ZEE ANATUPIGANIA CC TUNAOKOSA FREE SPEECH !NISEHEMU MBILI TU HAPA JAMII FORUM NA ACCOUNT YA MANGE INST.BAS KAMA VP NENDA TBC HUKO KWAKOMange alicheza mchezo wa kuiblock account yake ili apoteze kiki ya Wema kurudi CCM ili nililiona kitambo sana na amefanikiwa. wengi waliacha habar za Wema nakuanza kumuongelea Mange kwa vitu tofauti wengi walisema kwamba Mange kanunuliwa na CCm.
Na Jinsi alivo rudi kama ww zuzu uwezi kugundua. Alisema Tarehe 15 nitarudi hewani na kweli amerudi ahahaha Mange.
...Hahahaaaa wewe kwenye high quality comments nimeona una only two comments...Usiangalie quantity ya comments..angalia quality...kama una akili thou
AGIZA SODA KWA MANMGI NALIPAwatz bhana, haya ndipo tulipofika.....
kubali au kataa she is Tanzanian hero right now... kwa nini ?
yeye amekua sauti ya wanyonge, yeye ndiye pekee ana ubavu wa kusimama na kuisema serikali tukufu kwa mabaya/mazuri inayofanya bila woga wowote ... pengine kuwa kwake nje ya nchi kumemsaidia sana....
huyu mtu anapenyezewa habari nyeti sana ndani ya serikali na watu(wa serikali wengine watu wa system) wasiowaaminifu au waliochoka kwa utawala dhalimu.....
huyu mtu ni miongoni mwa watu wanaofatiliwa sana mtandaoni kwa tz, kubali kataa, na inawezekana ni yeye anaefatiliwa zaidi, hapa pia haijalishi namba ya followers alionao, kumbuka kuna wale wanaokuja wanachungulia page yake na kuondoka kuangalia nini kilichojiri nchini....angekua anaweka namba ya insight tungeshangaa watu wanaotembelea page yake, hapa hata viongoz kibao wa serikali wanamfatilia kimya kimya na user name fake ili wasijulikane......
anajua kucheza na mind za watu,anauwezo wa kuitngeneza hoja ya uongo na kuitetea watu wakaamini////
cha muhimu ni kwamba sio kila anachosema ki kweli au uchukulie siriaz, japo vingi anavyosema ni kweli, pia mmbea flani pia mshari, omba asikuchukie... anavyovisema vina ukweli 70%