Hatima ya Ubunge wa Chenge baada ya hukumu

Kijana naomba ujue tofauti kati ya hatia(conviction) na (sentence), change amekutwa na hatia na haifutiki, ila c mfungwa kwani ameshatumikia adhabu yake kwa kulipa faini, adhabu ilitolewa kwa option, na sio kutumikia kwa pamoja....... so chenge is free but a convict.

2-Kuhusu jambo la Chenge, hapa lazima tujue kuwa katiba hajazungumzia circumstances kama za Chenge, ila inazungumzia kuwa kabla ya kupata haki ya kugombea , ikiwa umeshahukumiwa then haki hiyo inaceas sasa hili la Chenge , mwenye mamlaka ya kulishughulikia hili ni High Court of Tanzania , watu wafungue shauri la madai juu ya tafsiri ya Article 67, huku chenge awekewe court injuction.......... kwa sasa mtapiga kelel lakini yule ni mwanasheria na anajua hajavunja kifungu chochote cha katiba


Kumbuka hukumu ilitolewa na ametumikia adhabu ya kulipa faini hivyo siku hiyo kama asingedit hiyo kesi angekuwa ananyea debe, kwa kuwa aliweza kuiona mapema ndio maana akaongezea kujitapa kuwa yeye ni Rais Wa Africa, kulipa faini ni adhabu tena alitakiwa hata kupigwa viboko Hansini
 
Kumbuka hukumu ilitolewa na ametumikia adhabu ya kulipa faini hivyo siku hiyo kama asingedit hiyo kesi angekuwa ananyea debe, kwa kuwa aliweza kuiona mapema ndio maana akaongezea kujitapa kuwa yeye ni Rais Wa Africa, kulipa faini ni adhabu tena alitakiwa hata kupigwa viboko Hansini

Usiandike kwa hisia , tuambie counts 4 za chenge zilikuwa zinamshtaki kwa makosa gani na upime kama unaijua sheria kuwa hukumu ilikuwa ni ya haki au la? hatahivyo, the matter in dispute here sio uhalali wa hukumu hiyo, bali position ya hukumu in relation to Change's position as a Member of Paliament relying on Article 67 of the Constitution of the United Republic Of Tanzania of 1977, tafadhali usinde nje ya mada
 
Suala liko wazi, tunone kama serikali ya JK na Bunge linaloongozwa na Anna Makinda, wote watauma meno. Utasikia wanasema hawajapokea taarifa rasimi ya hukumu..... teh teh. Hiyo taarifa inawezakuchukua miaka kuwafikia, wakati mwathirika wa kesi, Chenge, kesha lipa pesa.
 
Suala liko wazi, tunone kama serikali ya JK na Bunge linaloongozwa na Anna Makinda, wote watauma meno. Utasikia wanasema hawajapokea taarifa rasimi ya hukumu..... teh teh. Hiyo taarifa inawezakuchukua miaka kuwafikia, wakati mwathirika wa kesi, Chenge, kesha lipa pesa.

Tatizo la watanzania ni ushabiki ndio maana unasema simple tu kuwa swala liko wazi , huo ni upuuzi unaowalemea watanznia badala ya kuchua hatua zinazotakiwa mtakaa mnasubiri makinda amuondoe , mnamtwisha lawama bure hana pawa hiyo
 
Ibara ya 67 inasema iwapo atapewa kifungo cha zaidi ya miezi6. Haijasema akae jela miez6,imesema akipewa kifungo. Chenge jimbo lake linapaswa kutangazwa kuwa liko wazi. Tunaomba ndani ya siku 21 Nec mtwambie tukagombee Bariadi!
 
=======
Mheshimiwa
Chenge alipewa adhabu ya kifungo au faini, akalipa faini.
Kwa maana nyingine kifungo na faini vina hadhi na uzito sawa.
Unaweza kukiita kifungo kuwa faini au faini kuiita kifungo.
Naendelea kuamini kuwa Chenge yuko kifungoni.

Kuna maneno haya kwenye sentensi Mbili...NA ,AU
1.Kufungwa Miaka Mitatu AU Faini Tsh 700,000
2.Kufungwa Miaka Mitatu NA Faini Tsh 700,000
 
Kijana naomba ujue tofauti kati ya hatia(conviction) na (sentence), change amekutwa na hatia na haifutiki, ila c mfungwa kwani ameshatumikia adhabu yake kwa kulipa faini, adhabu ilitolewa kwa option, na sio kutumikia kwa pamoja....... so chenge is free but a convict.

2-Kuhusu jambo la Chenge, hapa lazima tujue kuwa katiba hajazungumzia circumstances kama za Chenge, ila inazungumzia kuwa kabla ya kupata haki ya kugombea , ikiwa umeshahukumiwa then haki hiyo inaceas sasa hili la Chenge , mwenye mamlaka ya kulishughulikia hili ni High Court of Tanzania , watu wafungue shauri la madai juu ya tafsiri ya Article 67, huku chenge awekewe court injuction.......... kwa sasa mtapiga kelel lakini yule ni mwanasheria na anajua hajavunja kifungu chochote cha katiba
=======

Ferds
Uwe mwangalifu, kuna siku utamwita baba yako mzazi kuwa ni "Kijana"!
Laiti ungefunuliwa kumwona unayemwita kijana.
 
Nimeangalia katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nimeona hivi kuhusiana na hali inayofanana na hii aliyo nayo Mh. Chenge.

Ibara ya 67
(2) Mtu hatakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge-
(c) ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu.

Chenge amekutwa na hatia na amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja au faini 700,000Sh.

Sasa hatima ya Chenge inakuwaje baada ya hukumu hiyo?

Naomba wataalamu wa Sheria na katiba mtufafanulie vizuri.

ukisoma vema kifungu ulichonukuu kinasema mtu hatakuwa na sifa ya kuteuliwa au kuchaguliwa kuwa mbunge.KIko wazi hakizungumzii mtu ambe ni mbunge tayari hivo kinawahusu wanaotaka kugombea au kuteuliwa kuwa wabunge. Kwa kifungu hiki Chenge tayari ni mbunge hivo hakiwezi kumbana labda kama kuna kifungu kinachosema mtu akishakuwa mbunge na akipataikana na hatia.Spika hawezi kutangaza jimbo lake wazi au vinginevyo.La pili Traffic offence ni tofauti na makosa mengineyo ndo maana hata kama ukigonga mtu akafa sio murder labda kuwe na vielelezo va kuonyesha umekusudia kuuwa.Kwa Chenge imeoneka ni kosa ndio aambalo imeanishwa ktk mojawapo ya Traffic offence na kapatikana na hatia ktk traffic offence na sio criminal offence ambayo iko ndani ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai(criminal Procedure Act).Chenge bado ataendelea kutamba na vijisent vyake bungeni kama kawa. Ndo hivo nijuavo
 
hapo ni kuachi kiti cha ubunge maramoja, na asipofanya sisi tutamtoa kwa nguvu na sheria za nchi.
lazima tujiandae kwa by-election
 
Ukisoma vema kifungu ulichonukuu kinasema mtu hatakuwa na sifa ya kuteuliwa au kuchaguliwa kuwa mbunge. KIko wazi hakizungumzii mtu ambe ni mbunge tayari hivo kinawahusu wanaotaka kugombea au kuteuliwa kuwa wabunge. Kwa kifungu hiki Chenge tayari ni mbunge hivo hakiwezi kumbana labda kama kuna kifungu kinachosema mtu akishakuwa mbunge na akipataikana na hatia. Spika hawezi kutangaza jimbo lake wazi au vinginevyo. La pili Traffic offence ni tofauti na makosa mengineyo ndo maana hata kama ukigonga mtu akafa sio murder labda kuwe na vielelezo va kuonyesha umekusudia kuuwa. Kwa Chenge imeoneka ni kosa ndio aambalo imeanishwa ktk mojawapo ya Traffic offence na kapatikana na hatia ktk traffic offence na sio criminal offence ambayo iko ndani ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai(criminal Procedure Act). Chenge bado ataendelea kutamba na vijisent vyake bungeni kama kawa. Ndo hivo nijuavo

Asante mkuu,

Lakini kwenye ibara ya 67 ya Katiba yetu inasemwa kuwa
"ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu, hatakuwa na sifa za kuchaguliwa kuwa mbunge"​
Haitoi exception ya traffic offence.

Vilevile nifafanulie kuwa kama angeamua kutumikia kifungo cha miaka mitatu hali ingekuwaje?
Je, Jimbo lake lingesubiri Mbunge atoke Jela?
Na yeye kule Jela angeendela kuwa mbunge?
Hivi hiyo faini inaondoa kuwa adhabu yake ilikuwa kifungo au faini?

Je kama mtu anapoteza sifa ya msingi ya kuwa mbunge baada ya kuwa mbunge kwa nini abaki mbunge?

Hapa kuna issues nzito ziangaliwa kwa kina.

Wanasheria mtufafanulie vizuri haya.
 
Ukisoma vema kifungu ulichonukuu kinasema mtu hatakuwa na sifa ya kuteuliwa au kuchaguliwa kuwa mbunge.KIko wazi hakizungumzii mtu ambe ni mbunge tayari hivo kinawahusu wanaotaka kugombea au kuteuliwa kuwa wabunge. Kwa kifungu hiki Chenge tayari ni mbunge hivo hakiwezi kumbana labda kama kuna kifungu kinachosema mtu akishakuwa mbunge na akipataikana na hatia.Spika hawezi kutangaza jimbo lake wazi au vinginevyo.La pili Traffic offence ni tofauti na makosa mengineyo ndo maana hata kama ukigonga mtu akafa sio murder labda kuwe na vielelezo va kuonyesha umekusudia kuuwa.Kwa Chenge imeoneka ni kosa ndio aambalo imeanishwa ktk mojawapo ya Traffic offence na kapatikana na hatia ktk traffic offence na sio criminal offence ambayo iko ndani ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai(criminal Procedure Act).Chenge bado ataendelea kutamba na vijisent vyake bungeni kama kawa. Ndo hivo nijuavo

Mkuu,

Soma na ibara ya 71 ya Katiba yetu:

Article 71.-
(1) Mbunge atakoma kuwa Mbunge na ataacha kiti chake katika Bunge litokeapo lolote kati ya mambo yafuatayo -
(a) ikiwa litatokea jambo lolote ambalo, kama asingekuwa Mbunge lingemfanya asiwe na sifa za uchaguzi au apoteze sifa za uchaguzi au asiweze kuchaguliwa au kuteuliwa kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii;

Halafu unganisha na ibara ya 67.
 
ndio maana dowans wametupiga chini. greatthinkers wamekuwa greatsinkers. hamjui hata kutafsiri katiba

mkitumwa kutuwakilisha icc nchi italipa bilioni 999

fisadi wa vijisenti anaokolewa na maneno matano "linaloambatana na utovu wa uaminifu"
 
ndio maana dowans wametupiga chini. greatthinkers wamekuwa greatsinkers. hamjui hata kutafsiri katiba

mkitumwa kutuwakilisha icc nchi italipa bilioni 999

fisadi wa vijisenti anaokolewa na maneno matano "linaloambatana na utovu wa uaminifu"

Nilidhani na wewe ni mmoja wetu.
 
ndio maana dowans wametupiga chini. greatthinkers wamekuwa greatsinkers. hamjui hata kutafsiri katiba

mkitumwa kutuwakilisha icc nchi italipa bilioni 999

fisadi wa vijisenti anaokolewa na maneno matano "linaloambatana na utovu wa uaminifu"

Kufoji insurance sio utovu wa uaminifu?
 
hivi yule aden rage alipofungwa kwa kuiibia fat ambayo siku hizi ni tff mhe alikaa kwa kipindi gani huko kwa madai ya utovu wa uaminifu kwa jamii??? Na mefikia vipi tena kiti cha ubungeee???

Mpinzani wa rage kweli naye analiona hili??

ya chenge na adem rage ni tofauti. Ni kweli adem rage alihukumiwa jela lakini alikata rufaa na alishinda rufaa yake kwa hiyo ile hukumu ikafutwa kwa kuwa alihukuwmiwi kimakosa kwa kuwa hakuwa na hatia.
Lakini chenge kahukumiwa na amekubali kosa na kalipa faini.
 
Hata kama hukumu imetolewa tayari akiwa mbunge,kosa alifanya kabla ya kuwa mbunge wa bunge la sasa,na kama hukumu ingetolewa mapema ina maana asingegombea ubunge,pamoja na huvyo suppose asingekuwa na hela ina maana angekuwa jela huyu jamaa hatakiwi kuwa mbunge ila kwa sababu tanzania haina accauntability let chenge injoy the free air from the sorrounging
 
Wakuu kama sikosei hukumu ya Chenge ilidai kuwa mshtakiwa alihukumiwa kwenda jela miaka 3 AU (sio NA) faini ya TSh 700,000/-! Kwa hiyo adhabu ya kifungo ilifutika baada Chenge kulipa faini! Back to Art 67 (2) of URT, 1977 haizungumzii adhabu ya faini bali kifungo! So, pamoja na kwamba simpendi fisadi huyu nasikitika kusema kwamba hajapoteza sifa ya ubunge!
 
Back
Top Bottom