Hatima ya Ubunge wa Chenge baada ya hukumu

Mwanaukweli

JF-Expert Member
May 18, 2007
4,786
1,710
Nimeangalia katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nimeona hivi kuhusiana na hali inayofanana na hii aliyo nayo Mh. Chenge.

Ibara ya 67
(2) Mtu hatakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge-
(c) ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu.

Chenge amekutwa na hatia na amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu au faini 700,000Sh.

Sasa hatima ya Chenge inakuwaje baada ya hukumu hiyo?

Naomba wataalamu wa Sheria na katiba mtufafanulie vizuri.
 
Swali langu hasa ni hili:

Hivi hiyo faini aliyolipa inafuta kuwa alihukumiwa kifungo cha Mwaka mmoja?

Naomba wataalamu wa sheria please mnisaidie
 
Hivi yule Aden Rage alipofungwa kwa kuiibia FAT ambayo siku hizi ni TFF Mhe alikaa kwa kipindi gani huko kwa madai ya utovu wa uaminifu kwa jamii??? Na mefikia vipi tena kiti cha ubungeee???

Mpinzani wa Rage kweli naye analiona hili??
 
mkuu....Rage was set free by his appeal being in favour of him..... therefore granted innocent...
 
mkuu....Rage was set free by his appeal being in favour of him..... therefore granted innocent...

Kama asingeshinda baada ya kukata rufaa asingeweza kugombea.

Sasa hapa kwa Chenge inakuwaje?
 
yes mkuu.... rufaa ile ndio iliyotengua kifungo chake kuwa si halali na yeye akawa hana hatia
 
Mkuu LAT naona wewe una weledi wa sheria, unasemaje katika hili?

mkuu mimi siko kwenye fani ya sheria kabisa.... tofauti na profession yangu.... lakini utaratibu wa kawaida wa mashitaka na hukumu unaeleweka pasipo lazima ya kuwa mwanasheria

Pia simtetei Rage..... Ukweli ni kwamba Rage alishinda rufaa.... hivyo basi hana hatia na kifungo alichotumikia kilikuwa batili ...., in principal rufaa inayompa innocence inamfanya kuwa alihukumiwa kimakosa
 
Tatizo la Katiba yetu iko 'silent' kuhusu mtu anayekutwa na hatia akiwa tayari kwenye uongozi (mid-way) kama ilivyo kwa Chenge. Lakini la msingi hapa ni kwamba Chenge amepatikana na hatia na amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu (ambayo ni zaidi ya miezi sita) na option ya fine. Anapolipa fine haimaanishi kwamba conviction inafutika. Huyu kisheria ni CONVICT na haruhusiwi kugombea ubunge. Lakini kwa sababu tayari ni mbunge, kwa maoni yangu na interpretation yangu ya sheria hii, moja kwa moja anapoteza sifa ya kuwa mbunge, na Spika anapaswa kulitangaza jimbo lake la uchaguzi kuwa vacant na ni lazima by-election ifanyike.
 
mkuu mimi siko kwenye fani ya sheria kabisa.... tofauti na profession yangu.... lakini utaratibu wa kawaida wa mashitaka na hukumu unaeleweka pasipo lazima ya kuwa mwanasheria

Pia simtetei Rage..... Ukweli ni kwamba Rage alishinda rufaa.... hivyo basi hana hatia na kifungo alichotumikia kilikuwa batili ...., in principal rufaa inayompa innocence inamfanya kuwa alihukumiwa kimakosa

Ok, nilidhani ungeweza kutufafanulia hiyo ibara ya 67 ya katiba yetu katika mazingira ya Mh. Chenge. Thanks mkuu.
 
Tatizo la Katiba yetu iko 'silent' kuhusu mtu anayekutwa na hatia akiwa tayari kwenye uongozi (mid-way) kama ilivyo kwa Chenge. Lakini la msingi hapa ni kwamba Chenge amepatikana na hatia na amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu (ambayo ni zaidi ya miezi sita) na option ya fine. Anapolipa fine haimaanishi kwamba conviction inafutika. Huyu kisheria ni CONVICT na haruhusiwi kugombea ubunge. Lakini kwa sababu tayari ni mbunge mojaa kwa moja anapoteza sifa ya kuwa mbunge, na Spika anapaswa kulitangaza jimbo lake la uchaguzi kuwa vacant na ni lazima by-election ifanyike.

Tuone kama watakaa kimya wakati wameapa kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Tatizo la Katiba yetu iko 'silent' kuhusu mtu anayekutwa na hatia akiwa tayari kwenye uongozi (mid-way) kama ilivyo kwa Chenge. Lakini la msingi hapa ni kwamba Chenge amepatikana na hatia na amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu (ambayo ni zaidi ya miezi sita) na option ya fine. Anapolipa fine haimaanishi kwamba conviction inafutika. Huyu kisheria ni CONVICT na haruhusiwi kugombea ubunge. Lakini kwa sababu tayari ni mbunge, kwa maoni yangu na interpretation yangu ya sheria hii, moja kwa moja anapoteza sifa ya kuwa mbunge, na Spika anapaswa kulitangaza jimbo lake la uchaguzi kuwa vacant na ni lazima by-election ifanyike.

Mie ningedhani kuwa inaleta mantiki kuwa: Kama kuhukumiwa ni kikwazo kwa kuchaguliwa kuwa mbunge, basi pia ni kikwazo kwa kuendelea kuwa mbunge.

Suppose angehukumiwa kifungo tu bila option ya faini, hivi angeenda gerezani mwaka mzima na kuendelea kuwa mbunge?

Hukumu ya kifungo bado ipo kwa hiyo wakisema sheria iko silent hapa sielewi.
 
Tatizo la Katiba yetu iko 'silent' kuhusu mtu anayekutwa na hatia akiwa tayari kwenye uongozi (mid-way) kama ilivyo kwa Chenge. Lakini la msingi hapa ni kwamba Chenge amepatikana na hatia na amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu (ambayo ni zaidi ya miezi sita) na option ya fine. Anapolipa fine haimaanishi kwamba conviction inafutika. Huyu kisheria ni CONVICT na haruhusiwi kugombea ubunge. Lakini kwa sababu tayari ni mbunge, kwa maoni yangu na interpretation yangu ya sheria hii, moja kwa moja anapoteza sifa ya kuwa mbunge, na Spika anapaswa kulitangaza jimbo lake la uchaguzi kuwa vacant na ni lazima by-election ifanyike.

mkuu ... kwa hiyo explanation i agree with you completely ..... the real fact is Chenge was found guilty in the matter of traffic offense by a legal verdict; thus ? je sheria zinasemaje kuhusu conviction.. especially on the type of offense.... criminal offense only au the disqualification of a convict as an MP is disposal to any conviction even torts...
 
mkuu ... kwa hiyo explanation i agree with you completely ..... the real fact is Chenge was found guilty in the matter of traffic offense by a legal verdict; thus ? je sheria zinasemaje kuhusu conviction.. especially on the type of offense.... criminal offense only au the disqualification of a convict as an MP is disposal to any conviction even torts...

Katiba inasema:
No. 67 (2)
(c) ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu.
 
Tatizo la Katiba yetu iko 'silent' kuhusu mtu anayekutwa na hatia akiwa tayari kwenye uongozi (mid-way) kama ilivyo kwa Chenge. Lakini la msingi hapa ni kwamba Chenge amepatikana na hatia na amehukumiwa kwenda jela miaka mitatu (ambayo ni zaidi ya miezi sita) na option ya fine. Anapolipa fine haimaanishi kwamba conviction inafutika. Huyu kisheria ni CONVICT na haruhusiwi kugombea ubunge. Lakini kwa sababu tayari ni mbunge, kwa maoni yangu na interpretation yangu ya sheria hii, moja kwa moja anapoteza sifa ya kuwa mbunge, na Spika anapaswa kulitangaza jimbo lake la uchaguzi kuwa vacant na ni lazima by-election ifanyike.

Ukipatikana na atia automatically unapoteza sifa za uongozi,
tufanye ndiyo yuko jela miaka 3 je jimbo litaachwa wazi kwa miaka 3 .
Chenge hana sifa tena za kuwa mbunge
 
Kwa mantiki ya wasemaji hapo juu ni kuwa, Chenge kwa sasa ni mfungwa, yuko kifungoni, si mbunge na jimbo liko wazi.

Hii inanifanya niwashtukie waandishi wetu wa habari kwamba hawasomi katiba. Hakuna gazeti hata moja la leo lililoandika juu ya implications za hukumu hii.

Criminal Chenge yuko mitaani kama mfungwa, hatakiwi kwenda bungeni, na akienda tuandamane na kupigwa mabomu.
 
Kwa mantiki ya wasemaji hapo juu ni kuwa, Chenge kwa sasa ni mfungwa, yuko kifungoni, si mbunge na jimbo liko wazi.

Hii inanifanya niwashtukie waandishi wetu wa habari kwamba hawasomi katiba. Hakuna gazeti hata moja la leo lililoandika juu ya implications za hukumu hii.

Criminal Chenge yuko mitaani kama mfungwa, hatakiwi kwenda bungeni, na akienda tuandamane na kupigwa mabomu.

Mkuu nadhani hatuwezi kumwita mfungwa kwa kuwa hukumu ilimpa uchaguzi wa kifungo au faini.

Cha muhimu hapo ni kuwa alikutwa na kosa na alipewa adhabu ya kifungo cha zaidi ya miezi sita.

Hilo ndilo kikwazo kwa ubunge wake.
 
Mkuu nadhani hatuwezi kumwita mfungwa kwa kuwa hukumu ilimpa uchaguzi wa kifungo au faini.

Cha muhimu hapo ni kuwa alikutwa na kosa na alihukumiwa kifungo cha zaidi ya miezi sita.

Hilo ndilo kikwazo kwa ubunge wake.

Mkuu .... kikubwa hapa ni kutiwa hatiani na kupewa adhabu kwa kosa alitotenda ambayo adhabu hiyo ni kifungo au kulipa faini

angalia katiba inavyosema

No. 67 (2)
(c) ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu.
 
Nangoja nione jinsi walio madarakani watakavyofanya.

Wakati wa ugombea uspika walimsafisha Chenge hata tuhuma za RADA mpaka serikali ya Uingereza ikaingilia.

Tuone kama wana ubavu wa kukiweka kifungu hiki cha KATIBA katika katika matendo.
 
Miezi sita au miaka mitatu?
Kweli wajinga ndio waliwao.
Mzee wa vijisenti inaonyesha hukumu kajitungia mwenyewe. si mnajua alikuwa mwanasheria mkuu?
 
Back
Top Bottom