Hata hati za muungano zikiletwa hamtakubali mtaamisha magoli! Mlianza bendera mkapewa, wimbo wa taifa mkapewa, vyote mnavyotaka mmepewa sasa hata hati ikija hamtokubali. Angalau sasa mmedai nchi yenu na hili tutawapa yaishe salama ndugu zetu. Hatutaki Muungano!!!
Mwanakijiji, hayataisha salama! Wakipewa nchi yao haitakua imetosha! Dai litakuwa Tanganyika iliwadhulumu na kuwafanya maskini na watadai walipwe. It will be interesting kuona kama na riba itadaiwa au la!