Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
jamani naomba wataalamu mnisaidie Na mtoto ana Miaka 3 hajajua ongea je kuna hatari ya yeye kuwa Bubu na je kilema cha ububu ni cha kurisi? Au genetics transimision?
Dr Riwa yupo najua atakuja kusaidia hili.
Riwa mtoto amekua vizur na mtundu mjanja na wakati wa kuzaliwa alilia kama kawaida tu ulimi nadhan upo fiti