Hatari ya matumizi mabaya ya mtandao wa majitaka

Hatari ya matumizi mabaya ya mtandao wa majitaka

Wizara ya Maji

Govt Institution
Joined
Oct 2, 2024
Posts
19
Reaction score
7
Mtandao wa majitaka unapotumiwa vibaya ni kero katika jamii, na chanzo cha magonjwa mbalimbali ambayo matibabu yake ni gharama.

Matumizi sahihi ya mtandao huo ni moja ya ustaarabu katika jamii, na huepusha usumbufu kwa watumiaji na wadau wengine, pia mazingira

 
Mtandao wa majitaka unapotumiwa vibaya ni kero katika jamii, na chanzo cha magonjwa mbalimbali ambayo matibabu yake ni gharama. Matumizi sahihi ya mtandao huo ni moja ya ustaarabu katika jamii, na huepusha usumbufu kwa watumiaji na wadau wengine, pia mazingira.
well done wizara ya maji kwa rai hiyo mujarabu sana kwa umma.

ni faraja kumbe mpo humu 🐒
 
Back
Top Bottom