Kwa utumbo ulioharisha hapa na uhakika hujui maana ya demokrasia, tanzania hakuna udikiteta na demokrasia vilevile hakuna. Ila kwa akili zako nimekuona wewe unapoana hakuna udikiteta unaita ni demokrasia aibu ilioje hii? Nenda kajifue upya uje utueleze demokrasia ni nini?
Lowasa anataka Urais kupambana na Umasikini kama umeshamsikia hiyo ndo ajenda yake kubwa, kwakuwa CCM wanapenda umasikini na ujinga ili waendelee kutawala, hiyo imemfanya Lowasa atafute watu wengine wenye malengo ya kuundoa umasikini na ujinga wa watanzania na si wengine ni UKAWA, siku Lowasa anajiunga UKAWA itakuwa ndo mwanzo wa Zama nyingine katika taifa letu, bila CCM kuwa Chama Tawala. Lowasa akiwa Rais atapigana kufa na kupota ku prove kuwa yaliynenwa juu yake si kweli, na watanzania tutanufaika sana na utawala wake.
Kwa utumbo ulioharisha hapa na uhakika hujui maana ya demokrasia, tanzania hakuna udikiteta na demokrasia vilevile hakuna. Ila kwa akili zako nimekuona wewe unapoana hakuna udikiteta unaita ni demokrasia aibu ilioje hii? Nenda kajifue upya uje utueleze demokrasia ni nini?
Haya Libya, Misri, Iraq, Yemen walikuwa na mawazo kama yako lakini sasa wamejifunza wanajuta. Kwa hiyo unataka kutuambia nasisi watanzania tujaribu mawazo hayo ili tuje pata tabu ya maisha kwetu na familia zetu? ?
Wacha kudanganya watu na kuwatia woga. Siku hizi hakuna ubabe wa hovyo kiasi hicho na ndio maana wengi waliofanya hivyo wametoka madarakani na kustaafia The Hague kumalizia uzee wao.
Fikra za kizamani achana nazo
Usiishushe CCM kwa kiasi hicho! CCM ni Chama Dola usisahau hilo, kama Bw.Lowasa akihamia CHADEMA ujue sasa Bw.Lowasa siyo tu adui wa CCM bali ni adui wa Serikali ya JMT na mfumo wake wote kuanzia TRA, Polisi, Magereza, JWTZ n.k chini ya Raisi wa JMT ambaye ndiye Kiongozi wa CCM, usisahau pia uhusiano mzuri wa TanZania na nchi kubwa Duniani kama Uchina, Marekani, Ulaya n.k hawa wote mpaka sasa hivi wanaipenda na kuikubali TanZania kama ilivyo kumbuka Upinzani wamejaribu sana kuisemea Serikali ya TanZania kwa wazungu lkn walipuuziwa kwa maana TanZania ni kipenzi cha Wazungu pmj na Wachina!
Wazungu wanasema chama chochote kilicho tawala zaidi ya mia 40 barani afrika hakiwezi kuwaletea maendeleo wananchi husika.Isipokuwa ni kuwanyonya wanachi kama walivyofanya wakoloni.Chama hicho inatakiwa kiondoke madarakani.
Ni wapi na lini Wazungu wamesema hivyo leta Ushahidi hapa, kwa maana hao pekee ndiyo wanaoweza kuamua kama CCM iondoke au isondoke na siyo Lowasa, Slaa au sijui Mbowe!
Usiishushe CCM kwa kiasi hicho! CCM ni Chama Dola usisahau hilo, kama Bw.Lowasa akihamia CHADEMA ujue sasa Bw.Lowasa siyo tu adui wa CCM bali ni adui wa Serikali ya JMT na mfumo wake wote kuanzia TRA, Polisi, Magereza, JWTZ n.k chini ya Raisi wa JMT ambaye ndiye Kiongozi wa CCM, usisahau pia uhusiano mzuri wa TanZania na nchi kubwa Duniani kama Uchina, Marekani, Ulaya n.k hawa wote mpaka sasa hivi wanaipenda na kuikubali TanZania kama ilivyo kumbuka Upinzani wamejaribu sana kuisemea Serikali ya TanZania kwa wazungu lkn walipuuziwa kwa maana TanZania ni kipenzi cha Wazungu pmj na Wachina!
Nafasi pekee ya Bw.Lowasa na CHADEMA wake ni labda waasi waingie porini kwa kutumia fedha zao walipe wagaidi na kuanza kufanya nchi isitawalike lkn wakifanya hivyo kama wana huo uwezo kumbuka WatanZania watawageuka na kuwaona wanaleta machafuko pmj na UN na wengineo!
Kumbuka mpaka sasa hivi ukisikia CCM na Serikali wako kimya usifikiri wamelala wanaangalia kila kitu na wanajipanga kumbuka wana uwezo tu wa kufungia chombo chochote kile cha habari pmj na JF na hakuna kitu tutafanya! Hivyo kwa kifupi kama Bw.Lowasa kweli anataka kwenda Upinzani basi naweza kusema kama wazungu wasemavyo yuko out of touch with reality!
Lowassa hata akienda chama gani hatashinda urais, Halafu mnapozungumzia ukawa ya lowassa je mmejumuisha vyama vingine kama CUF na wengine? Naona hapa kuna makubaliano ya chadema na lowassa sio lowassa na ukawa, kwa hiyo kuna uwezekano wa lowassa kwenda chadema na akagombea kwa chadema sio ukawa, kwa sababu vyama vingine havijaonyesha kukubaliana na mpango huo,
Hapo ndio ccm watatumia ile ile ya kugawa kura wao wapite kama mwewe,