Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,192
- 929
- Thread starter
- #41
Kuna ushahidi gani kuwa alikuwa anatafuna mtoto? Picha hazithibitishi hilo...
Kwa iyo ulitaka upewe picha za xray uone uyo mtoto alieliwa?
Kuna ushahidi gani kuwa alikuwa anatafuna mtoto? Picha hazithibitishi hilo...
Mi niko eneo la tukio acha uzushi.
Mleta Uzi acha uongo hii picha me ninayo Tangu mwaka Jana na nilitumiwa nikaambiwa mchawi amedondoka na Ungo Songea hivyo story ya hizi picha mpaka kesho haijulikani ni Kisa gani me naishi hapa Mbeya na Hospital ya meta hakuna Tukio la Namna hiyo ambalo limewahi kutokea hivyo usiuaminishe Umma kitu ambacho si cha kweli.
Mnatuzingua sasa,tumuamini nani?hapa ile kauli ya ZA KUAMBIWA................................ NDO INAHUSIKAImetokea nyuma ya hospital ya meta mkoani Mbeya.
Imetokea nyuma ya hospital ya meta mkoani Mbeya.
Kwa iyo ulitaka upewe picha za xray uone uyo mtoto alieliwa?
duh heri umetusaidia wengi maana mimi nilikuwa nilishaanza kutoa machoziMleta Uzi acha uongo hii picha me ninayo Tangu mwaka Jana na nilitumiwa nikaambiwa mchawi amedondoka na Ungo Songea hivyo story ya hizi picha mpaka kesho haijulikani ni Kisa gani me naishi hapa Mbeya na Hospital ya meta hakuna Tukio la Namna hiyo ambalo limewahi kutokea hivyo usiuaminishe Umma kitu ambacho si cha kweli.
Mleta Uzi acha uongo hii picha me ninayo Tangu mwaka Jana na nilitumiwa nikaambiwa mchawi amedondoka na Ungo Songea hivyo story ya hizi picha mpaka kesho haijulikani ni Kisa gani me naishi hapa Mbeya na Hospital ya meta hakuna Tukio la Namna hiyo ambalo limewahi kutokea hivyo usiuaminishe Umma kitu ambacho si cha kweli.
Hata km ni mchawi wameshindwa hata kumsitiri kwa khanga huyo mama? Maadili hayakuzingatiwa hapo
kweli bhana.Thread hii ni utata mtupu...
Asante kwa kutufungua macho,maana taarifa hii haijitoshelezi maana tunaambiwa tu kuwa mchawi katafuna mtoto lakini mtoto mwenyewe anaye tafunwa hatumuoni,hii story ina walakini.
Mnatuzingua sasa,tumuamini nani?hapa ile kauli ya ZA KUAMBIWA................................ NDO INAHUSIKA
Mwambie akupe hizo picha kama anazo uyu mzushi tu.
muwe mnasoma habari mzima. mtu kasema hospitali ya Meta, mkoani Mbeya, alafu bado kuna mtu anakurupuka, imetokea wapi hiyo? Mkoa gani? Nawewe unauliza iko maeneo gani ilhali mleta uzi keshasema Meta
Mleta Uzi kama upo eneo la tukio niambie kweli upo maeneo gani me nakuja hapo manake naishi maeneo ya Jakalanda uongo wa namna hii sio mzuri kabisa
Wazaz wako wamepata hasara,bora wangefuga bata leo wangekula nyuma kuliko kukufuga wewe tahaira.
Tumia akili kijana umeona picha ya gar ya police ikimchukua mchawi kumpeleka polisi sasa ukija utakuta nn?
Atakukuta wewe. Msubiri hapo.
hawajampa hata kanga duh!