Mleta Uzi acha uongo hii picha me ninayo Tangu mwaka Jana na nilitumiwa nikaambiwa mchawi amedondoka na Ungo Songea hivyo story ya hizi picha mpaka kesho haijulikani ni Kisa gani me naishi hapa Mbeya na Hospital ya meta hakuna Tukio la Namna hiyo ambalo limewahi kutokea hivyo usiuaminishe Umma kitu ambacho si cha kweli.
Yuko tumboni kwa mchawi,ameanza kubadilika kua mavi.
Tumia akili kijana umeona picha ya gar ya police ikimchukua mchawi kumpeleka polisi sasa ukija utakuta nn?
Webwana wacha masiala kasema amekutwa anatafuna mtoto kwahio nan ampe mtoto, halafu alie mfumania akaekimyatuNadhani Huyu Kafumaniwa na Mweshimiwa Flani ili kuliua Soo ya Kesi ya Ugoni , Ikabidi ajifanye Mchawi maana sheria zetu hazitambui Uchawi.
Tayari mmeshaingia kwenye siasa du!Utakuta nn kwani hata mashuhuda hawawezi kutoa maelezo weee wa wapi? Sema tu umetumiwa ukapost hujui lolote kuhusu hizi picha majibu yako tu kama watu wa ccm
hivi mkuu hospitali ya mkoa iko maeneo gani hapo Mbeya
hivi mkuu hospitali ya mkoa iko maeneo gani hapo Mbeya
hivi mkuu hospitali ya mkoa iko maeneo gani hapo Mbeya
Kama sijakosea ipo Nzovwe
Muwe mnasoma uzi mzima, pambaf. Mtu keshasema Meta alafu mtu unauliza tena
Mleta uzi japo siipendi lakini sheria mpya ya mitandao inamhusu!Mleta Uzi acha uongo hii picha me ninayo Tangu mwaka Jana na nilitumiwa nikaambiwa mchawi amedondoka na Ungo Songea hivyo story ya hizi picha mpaka kesho haijulikani ni Kisa gani me naishi hapa Mbeya na Hospital ya meta hakuna Tukio la Namna hiyo ambalo limewahi kutokea hivyo usiuaminishe Umma kitu ambacho si cha kweli.
Hata km ni mchawi wameshindwa hata kumsitiri kwa khanga huyo mama? Maadili hayakuzingatiwa hapo
Utakuta nn kwani hata mashuhuda hawawezi kutoa maelezo weee wa wapi? Sema tu umetumiwa ukapost hujui lolote kuhusu hizi picha majibu yako tu kama watu wa ccm
Acha ufalaaa na akili zako kama hayo mavii hakukufai humu nenda kwa shigongoo haya sio majibu ya wana jf umepotea njia