Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,054
- 34,798
Kama una ndugu yako yupo Msumbiji mwambie aondoke haraka sana hali sio nzuri . Hao wote utakaowaona kwenye video walifariki kwa kupigwa risasi. Kama unampango wa kwenda Msumbiji basi jua hii ndio hali halisi.