wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,549
kwa mujibu wa TB JOSHUA Sizonze anaweza asitoboe 2020.Huyo mzee kwa nini akuwa Syzonjay??
kwa mujibu wa TB JOSHUA Sizonze anaweza asitoboe 2020.Huyo mzee kwa nini akuwa Syzonjay??
Alifanya mistake kumpa mgongoMkuu huyo jamaa sio mtalii ila ni mfugaji wa huyo simba na kaanza kumlea huyo simba kuanzia ana siku 10 so hakutegemea kama huyo simba ata muattack na hapo alikua kaenda fungua geti watalii watoke
haijulikani kivipi wkt simba alikuwa anamuona mzee kama ugali dagaa! waache ujingaEti haijulikani kwanini alitaka kumla!!🙂
Hata wale wa sabasaba ukiinggia kwenye vibanda vyao utafanyiziwa tu.Uyo kimbele mbele kime mzidi kilicho mpeleka kuingia umo kwenye huo uzio ilkua ni kitu gani au alijua uyo Simba ni kama wale wa saba saba!!???
haijulikani kivipi wkt simba alikuwa anamuona mzee kama ugali dagaa! waache ujinga





Ingekuwa Sizonje wale wahutu wanaomlinda wangelala nae
haya bhn mkuuMkuu huyo jamaa sio mtalii ila ni mfugaji wa huyo simba na kaanza kumlea huyo simba kuanzia ana siku 10 so hakutegemea kama huyo simba ata muattack na hapo alikua kaenda fungua geti watalii watoke
Hata mimi nilisikia simba hutakiwi mpa mgongoAlifanya mistake kumpa mgongo
Kama huyu simba alilelewa na huyo Mzee miaka yote hiyo mbona alianza yeye kumkimbia na ndipo simba nae akamkimbiza?Hakuwa mtalii huyo baba bali alikuwa ni mliki wa hiyo zoo ya utalii na huyo simba ameanza kumlea toka akiwamdogo na alikuwa anamnyonyesha maziwa kwa njia ya chupa mpaka alipokuwa mkubwa na inasemekana ana umri zaidi ya miaka 10 huyo simba,Haijulikani kwanini hiyo siku simba huyo alitaka kumla na walinzi walimuuwa huyo simba kwa bunduki.
Na hiyo clip ilichukuliwa na mtalii aliyekwenda hapo
Mbona mnasahau haraka? Kingunge aliuawa na mbwa wake sembuse simba? ChaaaaDa inauma ,wanyama ni wanyama hata umlee vipi, kuna siku atakugeuka, tho na binadamu ni zaidi ya simba
Wewe muongo kama angekua kamlea asingemkimbia bali ingetokea gafra huyo mzee kanywa viroba akafikiri simba sasa na vyura pale jangwani kumbe hatariHakuwa mtalii huyo baba bali alikuwa ni mliki wa hiyo zoo ya utalii na huyo simba ameanza kumlea toka akiwamdogo na alikuwa anamnyonyesha maziwa kwa njia ya chupa mpaka alipokuwa mkubwa na inasemekana ana umri zaidi ya miaka 10 huyo simba,Haijulikani kwanini hiyo siku simba huyo alitaka kumla na walinzi walimuuwa huyo simba kwa bunduki.
Na hiyo clip ilichukuliwa na mtalii aliyekwenda hapo
mzee huyo kuna ishara aliiona mara moja kuwa kuna jambo siyo la kawaida kwa huyo simbaKama huyu simba alilelewa na huyo Mzee miaka yote hiyo mbona alianza yeye kumkimbia na ndipo simba nae akamkimbiza?
Simba chui mostly hawa wanyama hawazoeleki chui ndo kabisaa hanogi.Hakuwa mtalii huyo baba bali alikuwa ni mliki wa hiyo zoo ya utalii na huyo simba ameanza kumlea toka akiwamdogo na alikuwa anamnyonyesha maziwa kwa njia ya chupa mpaka alipokuwa mkubwa na inasemekana ana umri zaidi ya miaka 10 huyo simba,Haijulikani kwanini hiyo siku simba huyo alitaka kumla na walinzi walimuuwa huyo simba kwa bunduki.
Na hiyo clip ilichukuliwa na mtalii aliyekwenda hapo
Hahaah kimbelembele cha kumleta Simba mjini sioKimbelembele cha binadamu...
Hata binadamu ni mshenzi tu tena afadhali ya simba inajulikana wazi alikuwa ana njaa!Kivyovyote vile mnyama hawezi kuwa na akili kama za binadamu, atakustahi leo ila iko siku atakushow.......
Nmekumbuka muvi ya life of PI