Ilitakiwa awe akitembea na neti ili mnyama umfugae akikugeuka unamuwahi unamtupia Neti apambane nayo ili ujiokoeHakuwa mtalii huyo baba bali alikuwa ni mliki wa hiyo zoo ya utalii na huyo simba ameanza kumlea toka akiwamdogo na alikuwa anamnyonyesha maziwa kwa njia ya chupa mpaka alipokuwa mkubwa na inasemekana ana umri zaidi ya miaka 10 huyo simba,Haijulikani kwanini hiyo siku simba huyo alitaka kumla na walinzi walimuuwa huyo simba kwa bunduki.
Na hiyo clip ilichukuliwa na mtalii aliyekwenda hapo