britanicca
Platinum Member
- May 20, 2015
- 18,165
- 47,858
Mzee mmoja ambaye ameenda matembezi na mke wake huko Africa Kusini amevamiwa na simba na kuvutwa mpaka vichakani.
Kaumia vibaya amelazwa hospitali anaendelea na matibabu.
Kaumia vibaya amelazwa hospitali anaendelea na matibabu.