britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,192
- 41,703
Mzee mmoja ambaye ameenda matembezi na mke wake huko Africa Kusini amevamiwa na simba na kuvutwa mpaka vichakani.
Kaumia vibaya amelazwa hospitali anaendelea na matibabu.
Kaumia vibaya amelazwa hospitali anaendelea na matibabu.
