Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 541
Ana wengine huyo
Sasa sim yake yanini ???mm siwapendi watu ambao huw wanajua kushikiana sim ndo kupendana siwapendi sana .Jamani nipeni ushauri,
Mpenzi wangu hataki nishike simu yake hivi ni kweli kuna upendo hapo.
Mahusiano yana miezi nane nikichukua simu kwa nguvu ana nuna eti anasema hadi namchunguza simwamini?
Sent using Jamii Forums mobile app
U sound like my girl...Na ya mwanaume iogopewe kama nini mkuu...? Unakuta simu ina password kama strong room ya bank
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani yeye simu yake ina password kila folder?U sound like my girl...
"YESU anaponya "
Huyo paka shume ni vema ukaepukana nae mapemaJamani nipeni ushauri,
Mpenzi wangu hataki nishike simu yake hivi ni kweli kuna upendo hapo.
Mahusiano yana miezi nane nikichukua simu kwa nguvu ana nuna eti anasema hadi namchunguza simwamini?
Sent using Jamii Forums mobile app
No,my phone ndo inapasword kila mahali
Nini umuhimu wa kuwa na password kwenye simu kuna kitu gani usingependa mwenzi wako asioneNo,my phone ndo inapasword kila mahali
"YESU anaponya "