Never trust a woman my brother. Mimi sishiki simu ya bibie mara kwa mara ila anajua huwa naamua kumwambia anipe wakati wowote nikiamua. Unajua mwanaume lazima uwe na misimamo. Mwanamke wako huyo huna haja ya kushika simu yake kila wakati. Ila mwambie kuwa the day akisaliti ndio mwisho wa relationship. Wanawake wana mbinu nyingi mno. Anaweza akakuachia simu hapo ukae nayo, kumbe anayo nyingine inabaki ofisini. Au anatumia tablet au laptop akijifanya anafanya kazi za ofisini usiku kumbe anachat. La msingi ni yeye ajue tu kuwa akichepuka na mchezo unaishia hapo hapo. Wanawake wazuri wamejaa, kwanini uache msaliti mmoja akuzingue. Not me.