Hataki nishike simu yake, nikiichukua ananuna

Hataki nishike simu yake, nikiichukua ananuna

Wewe ni mwanaume buana! Fight with your condition ....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nini nipoteze energy kufight wakati mimi na wewe tumeshagundua njia na mbinu rahisi ni wewe tu kunielekeza na kunifundisha mambo ya kufanya ili kupunguza urasimu mwaya?!!.......urasimu utatupotezea tu muda wetu wa kufikia hatua ya kula tunda mwaya!
 
Kwa nini nipoteze energy kufight wakati mimi na wewe tumeshagundua njia na mbinu rahisi ni wewe tu kunielekeza na kunifundisha mambo ya kufanya ili kupunguza urasimu mwaya?!!.......urasimu utatupotezea tu muda wetu wa kufikia hatua ya kula tunda mwaya!
Hakuna kitu kirahisi. Tumia mbinu unazoamini zitafanikisha
 
Mi kuna rafiki yangu aliombwa simu na mpenzi wake ghafla tu machozi yakamtoka ,,mpenzi wake akamuambia basi hii hapa simu yako yaan mpaka machozi hii simu ina ninii??
 
Mi kuna rafiki yangu aliombwa simu na mpenzi wake ghafla tu machozi yakamtoka ,,mpenzi wake akamuambia basi hii hapa simu yako yaan mpaka machozi hii simu ina ninii??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo kiboko!
 
Back
Top Bottom