Hatafuti kazi, anasubiria atafutwe

Hatafuti kazi, anasubiria atafutwe

Ni kweli Kabisa!Ajira Ni Ngumu Sana Kupata Kwa Tz Ya Sasa!Kama Huna Mtu Unayejuana Nae Kwenye Ofisi za Watu Bora Ufuge Kuku!Watu Walioko nje Ya Mchezo wanaona Kutafuta Kazi Ni Rahisi Sana Ila Wangejua Jinsi Gani Ilivyokuwa Ngumu Kupata Kazi Wangenyamaza!Unakuta Mtu Una sifa Zote za Kupata Kazi Ila Sababu Hujuani Na Watu Wazito Unapigwa Chini
Acha tu mkuu ..kupata field tu imekuwa ni kazi. Sasa kazi sijui itakuwaje
 
Kuna watu wanaishi vizuri kweli
Kuna jamaa yangu kamaliza degree ya usimamizi wa biashara kwenye upande wa hesabu na fedha na Yuko vizuri kweli kwenye utendaji.....anasema hana muda wa kutafuta kazi bora akafuge kuku labda yeye ndio atafutwe.. .. .hahahaaz amenifurahisha
Hebu mpeni ushauri.
Kwa maelezo yako mbona hataki ushahuri?
 
Back
Top Bottom