Hata wanawake wapenda pesa wana kiu ya hitaji hili

hata nikinuna na kugoma nizoee am romantic there(kazi yangu ya askari magereza inaniathiri harooo harooo baby............)

kutokuwa romantic inaweza kuwa mojawapo ya mapungufu ya mtu katika mahusiano lazma kucompromise ili muende sawa. huwezi kupata kila kitu na huwezi kukosa kila kitu vile vile.
 
Jamani wanaume wengine hawawezi kuwa romantic haswa ile ya kitamthilia. Labda wajilazimishe/wa-fake.

Muhimu ni mwanamke kuwa muelewa (ujue namna mwenzio anavyochukulia kuwa romantic maana hata kurudi safarini na gunia la mkaa, kukuambia usichelewe kurudi nyumbani, kushinda nyumbani na wewe ni kuwa romantic for some.), kuridhika (kubali/furahia unayofanyiwa), ku-appreciate na ku-acknowledge jitihada za mume/mpenzi wake. Tatizo wanawake wakati mwingine wanaacha kuwa reasonable na kudemand mambo ya ajabu ajabu kwa mwanaume in the name of being romantic na ndio maana wengi wanaonekana kufeli. Ila ukweli ni kwamba wanawake ndio wanaofeli kwenye kuridhika, kuwa waelewa, ku-appreciate jitihada za wanaume n.k.


halafu wewe , ndiyo maana nakutafutaga humu nikiwa sikuoni............
 
tatizo lililopo ni mwanamke kuamini kuwa yeye ndo mtu wa kufurahishwa tu(tena vitu vya kifahari) siku zote ,nawakumbusha wanawake woteeeeee duniani LOVE is 50/50 percent ikiegemea upande mmoja siku akikuchoka zigo la misumari lazima atalitua tu,We love those who add value to our life haiwezekani unarud home mtu kanuna.......,life expenses zote unagharamia wewe,furaha nayo umeinunua kutoka kwake kwa mahari,vizawadi (majumba na magari) etc bado ulazimishe upendo?you are not such special girl who are you by the way?Lazima upokonywe dhahabu yako

Nimechekaaaaa lolz
 
Ukiweka nyama peke yake nyanya peke yake pilipili peke yake chumvi peke yake binzari peke yake tangawizi peke yake ndimu , vitungu saumu nk nk huwezi kupata ladha ya kitoweo. Muhimu ni kuvichanganya kwa ustadi ukiongeza na joto la kadiri.
Pesa peke yake haitoshi, romance peke yake noma

Mwanamke ataridhika ukionyesha kumthamin haijalishi una hela au lah.
 
tatizo lililopo ni mwanamke kuamini kuwa yeye ndo mtu wa kufurahishwa tu(tena vitu vya kifahari) siku zote ,nawakumbusha wanawake woteeeeee duniani LOVE is 50/50 percent ikiegemea upande mmoja siku akikuchoka zigo la misumari lazima atalitua tu,We love those who add value to our life haiwezekani unarud home mtu kanuna.......,life expenses zote unagharamia wewe,furaha nayo umeinunua kutoka kwake kwa mahari,vizawadi (majumba na magari) etc bado ulazimishe upendo?you are not such special girl who are you by the way?Lazima upokonywe dhahabu yako
Da! umeongea man... madem wanajiona wao ndo wakuwahendo af cc tunashika bomba!
 
Umeongea vyema mzee, but why 23 days????Unawezaje kuwasiliana na mke wa mtu kwa siku 23????Hukujieleza kuwa wewe ni nani kwake, lakini kwa nini utumie siku 23 unaongea na mwanamke asiye wako?

^^
Mhe. Rukiko mume alidokezwa na mfanyakazi wake baada ya kuwa nimemshauri jambo fulani ktk mahusiano yake, akanitafuta (mi si mshauri wa ndoa) lakini alipenda kujua jinsi ya kumrudisha mkewe ktk hali nzuri ya mahusiano. Hivyo alitambua mawasiliano baina yetu na nilitegemea kutumia miezi hivi lakini kwa kuwa tatizo lilijulikana mapema ikaishia siku 23, Furaha pekee niliyonayo ni kuwa mpaka sasa, wawili hawa wananithamini kama sehemu rafiki ya familia yao, wanaendelea mbele na mitihani mingine ya ndoa.
^^
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Himidini ulichoandika kinawagusa wengi sana. Lakini tukubaliane kwamba hiyo hali iko kwa pande zote mbili. Ninachojaribu kusema ni kwamba unaweza kuta mwanaume ambaye yuko very romantic kama ambavyo wanawake wengi wanawish kuwa na mtu wa hivyo, lakini unaweza kuta ana mke ama mpenzi ambaye yupo totally opposite na yeye na mwisho wa siku inakuwa ni majanga kwa mwanamume.

Case za namna hii zinaweza kuwa chache lakini haimanishi kwamba hazipo labda haziwi reported ama notice easily na pengine kwa sababu ya nature yetu wanaume ya kufa na tai shingoni. Lakini ujijaribu kuchunguza life stlye yetu sisi wanaume na huenda sio wachache kwa namba unaweza kulitambua hilo. Aidha pia unaweza kulithibitisha hilo kwa kiwango fulani hata kwa cases za malalamiko kwenye baadhi ya thead za humu jf dhidi ya upande wa pili.

Mwisho nadhani ni changamoto maana hakika kwa mwanzo wa uchumba watu wengi wamekuwa makini sana kuficha weakeness zao ambazo kwa namna moja ama nyingine wanazijua kwamba majanga kwa wenzao na jamii kwa ujumla na hivyo kupelekea kufanikisha malengo yao ya ndoa na wengine wamekua wakizipuuza tu wakizani ndani ya ndoa tutalekebishana kumbe dah.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom