Hata wanaume huingia period

Nakumbuka kipindi kile cha magazeti ya JITAMBUE waliwahi kuandika hii mada(wanaume kuingia period). Sema sikuwa mtunzaji mzuri wa lile gazeti.
 
Ndio maana Asprin aliniagiza olweiz
 
Last edited by a moderator:


hahahahahahahaha!!!!!! Nimekaribia kuingia period kama maana yako ni kuishiwa (Financially)
 
Hii habari kuna pahali nilishawahi isoma inawezekana ni kweli maanake siwa elewagi me sometime
ukiona kaamka na gumu ujue yupo period
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…