Najua wengi watabisha sana tu lakini wanaume nao huingia period
Period ya wanaume ni kuishiwa ambapo huambata na stress na hasira za kijinga
Hata Hapa kuna wachangiaji watakuja wakiwa period , utawafahamu tu kwa michango yao
Ukiona mwanaume anakwambia yupo period ujue kaishiwa