Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,752
Acha copy & paste
Hahaaaaaaa Belo umeona eeeeeeeeeeh
http://www.diva255.com/2010/04/nimevumilia-nimeshindwa-mbagala-track.html
Acha copy & paste
Hahaaaaaaa Belo umeona eeeeeeeeeeh
http://www.diva255.com/2010/04/nimevumilia-nimeshindwa-mbagala-track.html
Mkuu si useme tu kuna wakina dada wanapenda viimbaji vidogo vya kiume ? wacha kuzunguka kaka..
Busara na upole na hekima niliyorithi kutoka kwa mama yangu mama, vyote hukuvijali ukaona silingani kabisa kuwa na wewe,makuti na mkole ukakata kabisa na shina la penzi langu nanana.. eti kisa mali ukaona bora uniache mimi na uolewe,ile siku Shekhe namuona anachoma ubani unavishwa pete unakuwa mke wa fulani NILIUMIA SANAAAA..............
Ila watu wa Mbagala naskia hawaipendi... wandai inawadhalilisha...
kwani kuna tabu gani aki copy & paste?Hahaaaaaaa Belo umeona eeeeeeeeeeh
http://www.diva255.com/2010/04/nimevumilia-nimeshindwa-mbagala-track.html
Busara na upole na hekima niliyorithi kutoka kwa mama yangu mama, vyote hukuvijali ukaona silingani kabisa kuwa na wewe,makuti na mkole ukakata kabisa na shina la penzi langu nanana.. eti kisa mali ukaona bora uniache mimi na uolewe,ile siku Shekhe namuona anachoma ubani unavishwa pete unakuwa mke wa fulani NILIUMIA SANAAAA..............
Busara na upole na hekima niliyorithi kutoka kwa mama yangu mama, vyote hukuvijali ukaona silingani kabisa kuwa na wewe,makuti na mkole ukakata kabisa na shina la penzi langu nanana.. eti kisa mali ukaona bora uniache mimi na uolewe,ile siku Shekhe namuona anachoma ubani unavishwa pete unakuwa mke wa fulani NILIUMIA SANAAAA..............