Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,614
Nikiwa nimepotelewa mali zangu, nikaenda kuripoti polisi, nikapewa utaratibu wote lakini ilipofika wakati wa kuonana na mhasibu wa kituoni - nakutana na janga hili ... "Vitabu vya risiti vimeisha - nenda kituo kingine jirani"
Hivi tunaelekea wapi? Si hilo tu naskia hata hati za kusafiria ni kitendawili ... karatasi za kuduruza nyaraka bungeni kitendawili ... mbona mwelekeo hauonekani jamani?
Hivi tunaelekea wapi? Si hilo tu naskia hata hati za kusafiria ni kitendawili ... karatasi za kuduruza nyaraka bungeni kitendawili ... mbona mwelekeo hauonekani jamani?