masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,679
- 12,364
Haahaa! Gegedo lilikuwa la kutosha mpaka usimulie.!
Amekukosha ukakosheka.! Gosha ukagosheka.!
Weka ukawekeka.!
Now unafunguka.!
mmh MALENGA WAPYA
Haahaa! Gegedo lilikuwa la kutosha mpaka usimulie.!
Amekukosha ukakosheka.! Gosha ukagosheka.!
Weka ukawekeka.!
Now unafunguka.!
Usijidanganye wewe mimi hapa dc na maryland ukimwi upo sio sana kama huko lakini upohuko kwa ubama magonjwa kama hiv huwa hamna sana kama sub sahara Africa nikiwa huko mm nikutembea peku tu mwanzo mwisho
data zinaonyesha watu 1.2m wana ngoma na 60% ni blacks. bila shaka kashinde alilala na black.Usijidanganye wewe mimi hapa dc na maryland ukimwi upo sio sana kama huko lakini upo
Aisee
Hongera
Angalau ametufahamisha ya kwamba yupo USA kwa sasa na tayari amechance kwa muzungu!! Wabongo bana full drama.
huko kwa ubama magonjwa kama hiv huwa hamna sana kama sub sahara Africa nikiwa huko mm nikutembea peku tu mwanzo mwisho
We acha tu
horror movie
Sidhani kama hata condom ulitumia!Na utakapoanza kukohoa na kuharisha uje kutupa mrejesho.
Sign out:
Hivi inakuwaje mtu anakuwa na guts ya kutangaza hili tendo la faragha to the public ya kwamba jana/juzi I did........??? Kama ni rahisi kutangaza hadharani kwa nini inafanyika faragha? Wakati mwingine busara ni muhimu hata kama tunatumia fake ID.
cc: Kasinde.