Hata siamini kama nimenasa

Hata siamini kama nimenasa

What is the messege behind the story
??kututamanisha au ???? mimi mgumu kuelewa ujue
Habari zenu wapendwa, leo bana Kasinde kanasa ndani ya State ya Obama, loooh siamini kama nimenasa la la laaaah daaah!! msinicheke jamani maana najua nilijigamba sana. Wacha niwaelezee mkasa mzima ilikuwaje.....

Leo asubuhi nilipoamka ofcourse niliamka late kwasababu ya kubundi jana usiku. Baada ya mishuhuliko ya kutwa nzima jioni nilienda jogging kama kawaida na niliporudi home kwa mwenyeji wangu nilikuta anawageni wa kiume 3. Nikawasalimu kwa haraka maana nilikuwa na majasho. Nilipotoka kuoga wakasuggest tukale out in a restaurant, nikauramba mbeibe nikatoka. On the dinner one of the friends wa rafiki yangu akawa so busy na mie yaani on reading adults mind alinidondokea. Mie nikawa kimya kuona karata zitaishiaje. After dinner alipoona sielekei akamseti mwenyeji wangu ili atoke kisha yeye anirudie, huyo mkaka anaitwa Sean, nikiwa nimejiandaa kupopo mwenyeji wangu akaniambia leo hatoki hivo ananiachia rafiki yake nisiwe na wasiwasi. Machale yakancheza ila nikasema am Kasinde I can make it, tukatoka club moja hivi iko mbali na tunapokaa maana tuliendesha umbali mrefu, nkamwambia naomba nirudishe nikalale u know what he say, be my guest akanishika mkono hadi kwenye gari yake na stendi ya kwanza ilikuwa home kwake. Niliposhuka nikamwambia hapa sio home maana nyumba yake iko tofauti kidogo, akasema pls naomba leo ulale hapa ntakupa room yako na asubuhi nakurudisha home. Hapo kichwani nina kanywaji... na uchovu wa kucheza sikubisha nikaingia ndani ila nikamwambia bora nirudi home coz nguo za kubadili sina na mie nimezoea kulala bila nguo, kumbe ndo nazidi kuharibu. Sean alivosikia hivo hakuweza kuvumilia alinifata akanihug kwanguvu tightly, kisha long romance ikafata then...😛eep: :behindsofa: he got me damn man!!! Kasinde has loose the nut and he untie the screws aaagghh, sasa sijui asubuhi itakuwaje, nikasirike au niendeleze mshono??!!! Ila the game was sweet and marvelous, I darely to speak fo long I didn't get such a rub. Wacha nirudi kulala maana nimechomoka kama naenda toilet, hapa namuangalia Sean kalala he is cute and gentle, sijui nirudi nae bongo huyu....??? Sijui nimpagawishe na zile chejo za kinyamwezi...!!!

Nikiamka salama ntawapa full mkanda kuhusu mwenyeji wangu, kuna kitu nimekigundua ambacho nacho kimentia mashaka. Saa hizi huku ni saa tisa usiku bye wapendwa, kesho.
Love u alll, shida yangu napenda sana kusimulia na siwezi kuweka kitu moyoni yaani nikisimulia kitu naskia rahaaa, so naomba mnivumilie tuu jamani, love u much!!
Ila jiulize, is it true Kasinde is in love or it just happen?? ngoja pakuche!!
 
Aisee unaweza kuta huyo ndo mchumba wa mtu mwingine,imagine hapa anamsifia mchepuko wake na baadaye akirudi kwa jamaa blaa bllaa ur so sweet,I love u !

Shiti .kumbe Kasinde nawe ni maharage ya Mbeya hivyo. Kweli wewe ni kicheche. Mara tutaanza kukuona kwenye porn graph
 
Inawezekana ndiyo strategy yako ya kukusanya karo.maana si umeenda huko kupiga shule kimagumashi
 
Aisee unaweza kuta huyo ndo mchumba wa mtu mwingine,imagine hapa anamsifia mchepuko wake na baadaye akirudi kwa jamaa blaa bllaa ur so sweet,I love u !

hahaha ni shideer umenichekeshaje
 
Am an adult, sighns of love making is noticed at earliest stage, nimetoka bongo na pochi hiyo na ndo natembea nayo kila nikitoka, ndani ina nyaraka zangu muhimu za kuhalalisha ukaaji wangu huku state pamoja na ndom. So nilipoona mji yamezidi unga I just ask for a chance to let him wear it and we proceed, kuwa na kinywaji kichwani it doesnt mean you can not control urself, if u cant its u, for me I can na kichwa yangu ikarekodi matukio yote

Haahaa! Gegedo lilikuwa la kutosha mpaka usimulie.!
Amekukosha ukakosheka.! Gosha ukagosheka.!
Weka ukawekeka.!
Now unafunguka.!
 
Duuh umegongwa!!! kisha unakuja humu kujisifu.You are so cheap
 
huko kwa ubama magonjwa kama hiv huwa hamna sana kama sub sahara Africa nikiwa huko mm nikutembea peku tu mwanzo mwisho
 
One night stand and u are thinking of being in love,seriously!! There is one thing about us men my dear,if he screwed u on the very same day u first met then 90% of his thought at the moment is u er a.......... (That word which starts with B).

He can't wait for u to leave his house and US eventually caz anajua utamganda.Kama hatokuwa anawaza hivyo then atakuwa kavutiwa na sex wala hajavutiwa na wewe kama ambavyo wewe umevutiwa na game yake.
 
we Kasinde amka basi utumalizie wenzako uhondo...mweeh!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wapendwa, leo bana Kasinde kanasa ndani ya State ya Obama, loooh siamini kama nimenasa la la laaaah daaah!! msinicheke jamani maana najua nilijigamba sana. Wacha niwaelezee mkasa mzima ilikuwaje.....

Leo asubuhi nilipoamka ofcourse niliamka late kwasababu ya kubundi jana usiku. Baada ya mishuhuliko ya kutwa nzima jioni nilienda jogging kama kawaida na niliporudi home kwa mwenyeji wangu nilikuta anawageni wa kiume 3. Nikawasalimu kwa haraka maana nilikuwa na majasho. Nilipotoka kuoga wakasuggest tukale out in a restaurant, nikauramba mbeibe nikatoka. On the dinner one of the friends wa rafiki yangu akawa so busy na mie yaani on reading adults mind alinidondokea. Mie nikawa kimya kuona karata zitaishiaje. After dinner alipoona sielekei akamseti mwenyeji wangu ili atoke kisha yeye anirudie, huyo mkaka anaitwa Sean, nikiwa nimejiandaa kupopo mwenyeji wangu akaniambia leo hatoki hivo ananiachia rafiki yake nisiwe na wasiwasi. Machale yakancheza ila nikasema am Kasinde I can make it, tukatoka club moja hivi iko mbali na tunapokaa maana tuliendesha umbali mrefu, nkamwambia naomba nirudishe nikalale u know what he say, be my guest akanishika mkono hadi kwenye gari yake na stendi ya kwanza ilikuwa home kwake. Niliposhuka nikamwambia hapa sio home maana nyumba yake iko tofauti kidogo, akasema pls naomba leo ulale hapa ntakupa room yako na asubuhi nakurudisha home. Hapo kichwani nina kanywaji... na uchovu wa kucheza sikubisha nikaingia ndani ila nikamwambia bora nirudi home coz nguo za kubadili sina na mie nimezoea kulala bila nguo, kumbe ndo nazidi kuharibu. Sean alivosikia hivo hakuweza kuvumilia alinifata akanihug kwanguvu tightly, kisha long romance ikafata then...😛eep: :behindsofa: he got me damn man!!! Kasinde has loose the nut and he untie the screws aaagghh, sasa sijui asubuhi itakuwaje, nikasirike au niendeleze mshono??!!! Ila the game was sweet and marvelous, I darely to speak fo long I didn't get such a rub. Wacha nirudi kulala maana nimechomoka kama naenda toilet, hapa namuangalia Sean kalala he is cute and gentle, sijui nirudi nae bongo huyu....??? Sijui nimpagawishe na zile chejo za kinyamwezi...!!!

Nikiamka salama ntawapa full mkanda kuhusu mwenyeji wangu, kuna kitu nimekigundua ambacho nacho kimentia mashaka. Saa hizi huku ni saa tisa usiku bye wapendwa, kesho.
Love u alll, shida yangu napenda sana kusimulia na siwezi kuweka kitu moyoni yaani nikisimulia kitu naskia rahaaa, so naomba mnivumilie tuu jamani, love u much!!
Ila jiulize, is it true Kasinde is in love or it just happen?? ngoja pakuche!!
From crush in Tanzania to being laid in USA! Good progress Kasinde.
 
Last edited by a moderator:
Freedom of choice...kwa raha zako kasinde...mie penda ww unajiaminii na kujikubalii..anayekuponda hana lolotee!!YOLO
 
Uzuri wa JF hakuna mtu anaishi kwa Mtogole,Kwa Binyau,Tandale,Buguruni,au Mbagala!Wote wako mamtoni!Na hakuna hasiye na usafiri wa maana,baiskeli,au mtu amepanda daladala,thubutu,watu wote JF wanadrive tena Range or Harmer!!

Hongera bi dada,siku ya kwanza kuonana tu na pichu umevua na tena umenasa?!Safi sana,mapenzi hayachagui lini,wapi na nani,sio eheee??
 
Back
Top Bottom