tueur de lion
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 902
- 782
Binafsi nimejiridhisha kwa watu kadhaa ninao wafahamu binafsi. Nakuonea huruma wewe uliechagua kuwahadaa watu wachache wenye uelewa mdogo kwa makusudi.Ni uongo, uzushi, uzandiki, na upekepeke.
Anayeua sio Magufuli...atakufa kama wanavyokufa wengine wote asitake kutafuta umaarufu"..Mwambieni Magufuli Tutanyamaza Tukiwa Wafu.." Tundu Lissu
alafu haya mambo hua ni ya ajabu kweli,unaeza shangaa ww na hao unaowatetea mkatangulia mkamwacha mwenzenu anadunda.hiv vitu hua havieleweki eleweki aiseeAnayeua sio Magufuli...atakufa kama wanavyokufa wengine wote asitake kutafuta umaarufuView attachment 552043
Huu ndio unafiki first class ...Uenyekiti huo unakuhusu nini na unakukera nini kama wenye chama wenyewe hawaoni tatizo katika hilo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nimejiridhisha kwa watu kadhaa ninao wafahamu binafsi. Nakuonea huruma wewe uliechagua kuwahadaa watu wachache wenye uelewa mdogo kwa makusudi.
Sent using Jamii Forums mobile app
....Aisee kwa hiyo inaelekea unajua kwamba mwishowe atafanywa mfu? Likitokea la kutokea tutakuhitaji kituo cha kati.Na ndiko anakoelekea huyo Lissu wenu....kuwa mfu.
..."Kama hamtaki kushusha mabango yenu siyasomi sasa na mkatandike mlalie na wake zenuu"....HahahaaaaMshauri JPM awe wa kwanza kuchagua maneno ya kuzungumza!
Naam, hata yeye huu ujumbe unamhusu.
Kwa nn nyie hamtaki kufuata [HASHTAG]#katiba[/HASHTAG] ili yaishe???Mnaoshadadia huo utumbo wa Lissu Serikali kususiwa msifikiri ikisusiwa Magufuli atakosa lolote, narudia vijana angalieni siyo kila jambo ni kushangilia tu kisa limesemwa na unaempenda sana, kwa wale mnaotembea duniani humo mkifanikiwa kufika Harare mtaona maisha ya pale na mjiulize baada ya maisha yale Mugabe kakosa nini na familia yake, maneno kama ya Lissu ni ya kupingwa na kila mwenye akili timamu, ukiwaza chama chako peke yake utashindwa kutumia bongo kufikiria otherwise endeleeni kushadadia ujinga. Tanzania ikisusiwa kiuchumi inamaana pamba, kahawa, madini, katani, korosho na mazao mengine yanafungiwa kuingia ktk soko la dunia sasa jiulize Magu analima kweli hayo mazao? Unafikiri kama huyo mnaesema asusiwe halimi wala hachimbi dhahabu atakaeathirika siyo baba, mama, shangazi au mjombaako...Think twice unaweza kushadadia lkn mwisho ukaĺia wakati Magu anakula pensheni yake, Magu tumsemeni lkn kwa staha huku Utaifa ukiwekwa mbele kama tai
Sent using Jamii Forums mobile app
je anayesemwa ana hayo?usitumie hekima na busara
Swali zuri sanaUnapata wapi uhalali wa kumkosoa wa pili na hujamkosoa wa kwanza wakati wamefanya kosa lile lile?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona uelewa wako mdogo sana kama panzi kama siyo Nyumbu....unaamua kutuita nyie wewe unajiondoa ukifikiri hilo unaloshadadia likibuma halikuhusu, hata kina Tsavangirai wakat wanapiga debe Zimbabwe itengwe waliwaita watawala nyie wakijua Zimbabwe ikitengwa wao watakuwa salama lkn sasa kama siyo wao bas ndugu na jamaa zao wanateseka huku Mugabe akitanua kwa sana, sherehe dailly state house..fikiri kwa kutumia bongo yako acha kuitika kila nyimbo inayopigwaKwa nn nyie hamtaki kufuata [HASHTAG]#katiba[/HASHTAG] ili yaishe???
Lissu anashinikiza mfuate katiba, yamewashinda??? Kwamba ni bora msitishiwe misaada ila katiba muiweke pembeni eee????
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam, hata yeye huu ujumbe unamhusu.
Cha ajabu umeishia ku quote vipengele tu,hujawahi hata kushinda kesi yoyote kama wakili mahakamani. Ajabu sanaAnasahau hii Ibara ya 29 (5) ya katiba ya JMT ya 1977 ;
29.-(1) Every person in the United Republic has the right to enjoy fundamental human rights and to enjoy the benefits accruing from the fulfillment by every person of this duty to society, as stipulated under Article 12 to 28 of this Part of this Chapter of the Constitution. Art.6
(2) Every person in the United Republic has the right to equal protection under the laws of the United Republic.
(3) A citizen of the United Republic shall not have a right, status or special position on the basis of his lineage, tradition or descent.
(4) It is hereby prohibited for any law to confer any right, status, or special position upon any citizen of the United Republic on the basis of lineage, tradition or descent.
(5) In order that all persons may benefit from the rights and freedoms guaranteed by this Constitution, every person has the duty to so conduct himself and his affairs in the manner that does not infringe upon the rights and freedoms of others or the public interest.