Watu tukisema kuwa Rais was Sasa hafai kuongoza nchi, wale wote waliopo madarakani au ambao wanashiriki kwa namna moja au nyingine kutafuna nae keki ya taifa huwa wanatushambulia Sana na pengine hata kuhatarisha maisha ya baadhi ya watu au kuondoa kabisa uhai ilimradi haumkubari Rais.
Ninachotaka kusema Ni kwamba wengi wa mnaojifanya kumkubari Ni kwa sababu tu ama amewapa nafasi za ulaji au mnatafuta nafasi za ulaji lakini Kuna siku wote tutaimba lugha moja.
Ningependa kumuona Bwana Gambo akiendelea kutoa sifa kwa mkuu Kama ilivyokuwa zamani. Pia natamani kumuona Nappe naye akifanya hivo. Kama wasipofanya hivo basi tuamini kuwa Kuna siku wote tukikutana mtaani tutakuwa na Lugha moja na hapo ndipo ukombozi utakuwa umekaribia.
Ninachotaka kusema Ni kwamba wengi wa mnaojifanya kumkubari Ni kwa sababu tu ama amewapa nafasi za ulaji au mnatafuta nafasi za ulaji lakini Kuna siku wote tutaimba lugha moja.
Ningependa kumuona Bwana Gambo akiendelea kutoa sifa kwa mkuu Kama ilivyokuwa zamani. Pia natamani kumuona Nappe naye akifanya hivo. Kama wasipofanya hivo basi tuamini kuwa Kuna siku wote tukikutana mtaani tutakuwa na Lugha moja na hapo ndipo ukombozi utakuwa umekaribia.