Hata akichepuka mimi sijali

Hata akichepuka mimi sijali

livewise1

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
837
Reaction score
970
Salaam JF,

Nimechukua muda wa kama miezi 3 tu kujua hii kauli inayotolewa na wanawake kwamba "HATA JAMAA AKICHEAT NI YEYE KIKUBWA ANANIPENDA NA KUNIHUDUMIA" kuwa ni ya kimkakati.

Mwanamke anaesema hii kauli ni wa kuchungwa haswa yule anaeweza kumwambia bwana ake uso kwa uso..." BABE HATA UKINICHEAT MI SIWEZI KUUMIZA KICHWA ILI MRADI UNANIJALI NA KUNIHUDUMIA"

Waongo bwana.
Wanajificha kwenye kichaka Cha matembele.

Hii kauli inakufanya mwanaume ujione hata ukikusanya Kijiji babe Hana time na wewe afu yeye yupo vizuri katulia. Nop, wanaliwa mbaya mbovu...ni kauli ya kukuzubaisha usimuwazie mabaya yeye.

Kama unataka kuamini, ukimsikia mwanamke anasema hii kauli, we jaribu kumuingiza box uone.
Kati ya 10, watakaokataa hawafiki hata 3.

Sema wanapiga vizinga daily kwa sababu anajua wewe unajua status yake (upwiru sio tatizo kwake maana ana mtu) na bado unamtaka.

Hii ni according to research ya miezi 3 tu.

Binafsi ukiniambia hiyo kauli ndio inakuwa a red flag .

Kwa sababu sometimes anasema hiyo kauli na unakuwa sio mchepukaji.
 
Huwa ni wakweli na hao ni WACHAGA 97% wakitoka kwao moshi akipata jamaa mwenye uwezo wa kubadili mboga tu habanduki walaaa kikubwa atajiongeza kuzaa na kuhamia hukohuko
 
planet pumbunyo tunazidi kufaidi
IMG_20230922_054654_142.jpg
 
Salaam JF,

Nimechukua muda wa kama miezi 3 tu kujua hii kauli inayotolewa na wanawake kwamba "HATA JAMAA AKICHEAT NI YEYE KIKUBWA ANANIPENDA NA KUNIHUDUMIA" kuwa ni ya kimkakati.

Mwanamke anaesema hii kauli ni wa kuchungwa haswa yule anaeweza kumwambia bwana ake uso kwa uso..." BABE HATA UKINICHEAT MI SIWEZI KUUMIZA KICHWA ILI MRADI UNANIJALI NA KUNIHUDUMIA"

Waongo bwana.
Wanajificha kwenye kichaka Cha matembele.

Hii kauli inakufanya mwanaume ujione hata ukikusanya Kijiji babe Hana time na wewe afu yeye yupo vizuri katulia. Nop, wanaliwa mbaya mbovu...ni kauli ya kukuzubaisha usimuwazie mabaya yeye.

Kama unataka kuamini, ukimsikia mwanamke anasema hii kauli, we jaribu kumuingiza box uone.
Kati ya 10, watakaokataa hawafiki hata 3.

Sema wanapiga vizinga daily kwa sababu anajua wewe unajua status yake (upwiru sio tatizo kwake maana ana mtu) na bado unamtaka.

Hii ni according to research ya miezi 3 tu.

Binafsi ukiniambia hiyo kauli ndio inakuwa a red flag .

Kwa sababu sometimes anasema hiyo kauli na unakuwa sio mchepukaji.
Hi nyie watu mapenzi hayawachoshi tu!?

Ukiacha dini,utapeli mwengine unaofuatia ni mapenzi
 
Back
Top Bottom