Mkazi maarufu wa mjini Morogoro, Hassan Bantu pichani chini amefariki dunia jana katika hospitali ya Muhimbili alikopelekwa baada ya kuugua kwa muda mfupi:
Hassan Bantu alikuwa mfanyabiashara maarufu mzawa baina ya wengi wenye asili ya kiasia mjini humo.
Katika kipindi chake, Bantu amekuwa mwanachama wa kutegemewa wa CCM akishika nafasi nyingi za utendaji katika chama hicho kikongwe.
Alale pema peponi Hassan Bantu.
Hassan Bantu alikuwa mfanyabiashara maarufu mzawa baina ya wengi wenye asili ya kiasia mjini humo.
Katika kipindi chake, Bantu amekuwa mwanachama wa kutegemewa wa CCM akishika nafasi nyingi za utendaji katika chama hicho kikongwe.
Alale pema peponi Hassan Bantu.