Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,188
- 138,489
View: https://youtube.com/shorts/tOJxCv3CcT0?si=xSS3Qrohs5htvSKG
Japo Kwenye mechi ya leo Mangungu hana kosa lolote, ila polisi wangeacha kidogo ale mitama
View: https://youtube.com/shorts/tOJxCv3CcT0?si=xSS3Qrohs5htvSKG
Japo Kwenye mechi ya leo Mangungu hana kosa lolote, ila polisi wangeacha kidogo ale mitama
mpira ni ajira,akijiuzuru akale wapi?Sasa Mangungu anasubiri nini Simba,Si ajiuzulu tu,aachie wengine, watu washakukataa we unafosi tu
Malinzi alifuatwa na mapangaHii yote ni kiwewe cha Yanga kutawala soka la Tanzania. Ila kiuhalisia Simba ana timu nzuri tu inayohitaji muda nq support ya mashabiki ili irudishe makali yake.
Yanga tumepitia kipindi kigumu hadi kutembeza bakuli lakini hatukuwahi kutaka kuwadhuru viongozi wetu.
Ushabiki wa aina hii ni ushabiki wa kishamba na kifala.
Ndo uwe king'ang'a sasa, kazi zipo nyingi bwana, hutakiwi sepampira ni ajira,akijiuzuru akale wapi?
Huyu mzee ni mpuuzi, ndio watu wasio na maono wanavyokuwa. Hutakiwi lakini upo tuNdo uwe king'ang'a sasa, kazi zipo nyingi bwana, hutakiwi sepa
Yaani,kama timu ya baba ake, hutakiwi unang'ang'ana tu, au ndo ile kusikia kwa kenge hadi damu zitoke masikioni 😅Huyu mzee ni mpuuzi, ndio watu wasio na maono wanavyokuwa. Hutakiwi lakini upo tu
Sijajua kwa nini waandamanaji Mo29 hawakumtembelea huyuYaani,kama timu ya baba ake, hutakiwi unang'ang'ana tu, au ndo ile kusikia kwa kenge hadi damu zitoke masikioni 😅