Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,505
- 51,107
Akihojiwa na mwandishi wa habari, Mwenyekiti wa Chama cha CHAUMA ameshangazwa sana na namna DP World walivyopewa bandari zetu.
Mzee Rungwe amesema bandari zetu zilishauzwa tangu day one rais Samia alipokwenda huko Uarabuni mwaka jana.
Rungwe anasema hili jambo la uuzwaji bandari siyo zuri hata kidogo. Akasema kuwa viongozi wote waliopita walifanyw yao lakini hawakuthubutu kuuza bandari.
Mzee Rungwe akasema kuwa suala la bandarini ilikuwa ni issue ya management tu, ni bora hata ingekodishwa management nzuri iendeshe bandari badala ya kuiuza kwa mwarabu. Anasema kitendo cha kusema eti sisi hatuwezi kuendesha bandari ila mwarabu ndo anaweza ni matusi kwetu, maana atakachofanya mwarabu ni kuleta management tu na si kitu kingine kikubwa chochote. Akasema kuwa hata sisi tungeweza pia.
Unaweza kumsikiliza hapa:
Mzee Rungwe amesema bandari zetu zilishauzwa tangu day one rais Samia alipokwenda huko Uarabuni mwaka jana.
Rungwe anasema hili jambo la uuzwaji bandari siyo zuri hata kidogo. Akasema kuwa viongozi wote waliopita walifanyw yao lakini hawakuthubutu kuuza bandari.
Mzee Rungwe akasema kuwa suala la bandarini ilikuwa ni issue ya management tu, ni bora hata ingekodishwa management nzuri iendeshe bandari badala ya kuiuza kwa mwarabu. Anasema kitendo cha kusema eti sisi hatuwezi kuendesha bandari ila mwarabu ndo anaweza ni matusi kwetu, maana atakachofanya mwarabu ni kuleta management tu na si kitu kingine kikubwa chochote. Akasema kuwa hata sisi tungeweza pia.
Unaweza kumsikiliza hapa: