Hashim Rungwe ahoji: Mtauzaje Bandari zetu?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,505
51,107
Akihojiwa na mwandishi wa habari, Mwenyekiti wa Chama cha CHAUMA ameshangazwa sana na namna DP World walivyopewa bandari zetu.

Mzee Rungwe amesema bandari zetu zilishauzwa tangu day one rais Samia alipokwenda huko Uarabuni mwaka jana.

Rungwe anasema hili jambo la uuzwaji bandari siyo zuri hata kidogo. Akasema kuwa viongozi wote waliopita walifanyw yao lakini hawakuthubutu kuuza bandari.

Mzee Rungwe akasema kuwa suala la bandarini ilikuwa ni issue ya management tu, ni bora hata ingekodishwa management nzuri iendeshe bandari badala ya kuiuza kwa mwarabu. Anasema kitendo cha kusema eti sisi hatuwezi kuendesha bandari ila mwarabu ndo anaweza ni matusi kwetu, maana atakachofanya mwarabu ni kuleta management tu na si kitu kingine kikubwa chochote. Akasema kuwa hata sisi tungeweza pia.

Unaweza kumsikiliza hapa:

 
Daaah inasikitisha sana! Viongozi ni sikio la kufa!
Akihojiwa na mwandishi wa habari, Mwenyekiti wa Chama cha CHAUMA ameshangazwa sana na namna DP World walivyopewa bandari zetu.

Mzee Rungwe amesema bandari zetu zilishauzwa tangu day one rais Samia alipokwenda huko Uarabuni mwaka jana.

Rungwe anasema hili jambo la uuzwaji bandari siyo zuri hata kidogo. Akasema kuwa viongozi wote waliopita walifanyw yao lakini hawakuthubutu kuuza bandari.

Mzee Rungwe akasema kuwa suala la bandarini ilikuwa ni issue ya management tu, ni bora hata ingekodishwa management nzuri iendeshe bandari badala ya kuiuza kwa mwarabu. Anasema kitendo cha kusema eti sisi hatuwezi kuendesha bandari ila mwarabu ndo anaweza ni matusi kwetu, maana atakachofanya mwarabu ni kuleta management tu na si kitu kingine kikubwa chochote. Akasema kuwa hata sisi tungeweza pia.

Unaweza kumsikiliza hapa:

 
Basi na Huyu ataandikiwa barua ya kuitwa na Kingai, mama ni dikteta anayejua kunyamazisha watu kisailensa
Hizo barua wakazichapishe stationery kabisa kisha wazihifadhi kwenye mfuko wa rambo, naona watawaandikia wengi sana, ni chawa wachache kina Lord denning ndio hawatapewa hizo barua, lakini kwa mzalendo wa kweli, kupewa hiyo barua ni sawa na kutunukiwa cheti cha uzalendo kwa taifa lako.
 
Samia ni mjinga amecheza mchezo wa kipuuzi sana kwa taifa lake, ajabu hata aibu haoni, bado kwenye speech zake anakemea rushwa, na kuhimiza umoja na mshikamano, wakati yeye ndie kinara wa kuvunja umoja wetu na mshikamano wetu watanzania, kwa kuzitoa bure bandari zetu watanganyika, na kuziacha za kwao Makunduchi.
 
Huyu Mzee ameshazeeka apumzike sasa alee wajukuu,hafahamu ya kuwa biashara za sasa zinaendana na influence ya muwekezaji, (chain types of tradings) unaweza weka managent hapo na ukapiga mihayo na mizigo ukapata kiducho,due to lack of influence!

Intelegent point ni tunataka Ku trade high au tunataka Ku trade low! We have to choose a way, mtanzania akishapata ugali kibanda Kagari ,haoni mbele tena !

-RAIS WANGU SAMIAH,SONGA MBELE LETS MOVES FORWARD NO TIME TO WASTE!
-Bandari ikiwekezwa vizuri ikaleta tija tarajiwa,waelewa tunafahamu ya kuwa makodi kodi ya hovyo yatapungua huku mitaani,au kufutwa,kodi za Magari zitashuka na mengi tu,kwa sababu SEREKALI itakuwa na vyanzo ambavyo havisababishi mtanzania kuminywa!/kukamuliwa hali ya watoto kupata bulga itarudi madaftari bure mashuleni itarudi na mengi tu.
 
Akihojiwa na mwandishi wa habari, Mwenyekiti wa Chama cha CHAUMA ameshangazwa sana na namna DP World walivyopewa bandari zetu.

Mzee Rungwe amesema bandari zetu zilishauzwa tangu day one rais Samia alipokwenda huko Uarabuni mwaka jana.

Rungwe anasema hili jambo la uuzwaji bandari siyo zuri hata kidogo. Akasema kuwa viongozi wote waliopita walifanyw yao lakini hawakuthubutu kuuza bandari.

Mzee Rungwe akasema kuwa suala la bandarini ilikuwa ni issue ya management tu, ni bora hata ingekodishwa management nzuri iendeshe bandari badala ya kuiuza kwa mwarabu. Anasema kitendo cha kusema eti sisi hatuwezi kuendesha bandari ila mwarabu ndo anaweza ni matusi kwetu, maana atakachofanya mwarabu ni kuleta management tu na si kitu kingine kikubwa chochote. Akasema kuwa hata sisi tungeweza pia.

Unaweza kumsikiliza hapa:

Safi!
 
Huyu Mzee ameshazeeka apumzike sasa alee wajukuu,hafahamu ya kuwa biashara za sasa zinaendana na influence ya muwekezaji, (chain types of tradings) unaweza weka managent hapo na ukapiga mihayo na mizigo ukapata kiducho,due to lack of influence!

Intelegent point ni tunataka Ku trade high au tunataka Ku trade low! We have to choose a way, mtanzania akishapata ugali kibanda Kagari ,haoni mbele tena !

-RAIS WANGU SAMIAH,SONGA MBELE LETS MOVES FORWARD NO TIME TO WASTE!
-Bandari ikiwekezwa vizuri ikaleta tija tarajiwa,waelewa tunafahamu ya kuwa makodi kodi ya hovyo yatapungua huku mitaani,au kufutwa,kodi za Magari zitashuka na mengi tu,kwa sababu SEREKALI itakuwa na vyanzo ambavyo havisababishi mtanzania kuminywa!/kukamuliwa hali ya watoto kupata bulga itarudi madaftari bure mashuleni itarudi na mengi tu.
Jambo la kijinga haliwi la maana kwa sababu ya kuandikwa kwa kiingereza.
 
"4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?"
 
Akihojiwa na mwandishi wa habari, Mwenyekiti wa Chama cha CHAUMA ameshangazwa sana na namna DP World walivyopewa bandari zetu.

Mzee Rungwe amesema bandari zetu zilishauzwa tangu day one rais Samia alipokwenda huko Uarabuni mwaka jana.

Rungwe anasema hili jambo la uuzwaji bandari siyo zuri hata kidogo. Akasema kuwa viongozi wote waliopita walifanyw yao lakini hawakuthubutu kuuza bandari.

Mzee Rungwe akasema kuwa suala la bandarini ilikuwa ni issue ya management tu, ni bora hata ingekodishwa management nzuri iendeshe bandari badala ya kuiuza kwa mwarabu. Anasema kitendo cha kusema eti sisi hatuwezi kuendesha bandari ila mwarabu ndo anaweza ni matusi kwetu, maana atakachofanya mwarabu ni kuleta management tu na si kitu kingine kikubwa chochote. Akasema kuwa hata sisi tungeweza pia.

Unaweza kumsikiliza hapa:


Inaelekea sasa kila aliyefilisika kisiasa atadandia issue ya Bandari !😅 !

Sisi wengine tunaona issue ya Katiba ndio issue muhimu! Umuhimu wa issue ya Bandari ni kwa wale watakaoathirika na ubia utakaofanyika pamoja na wapambe wao !!

Katiba bora ndiyo itakayodhibiti vile tunaviona havifai kufanyika visifanyike na si vinginevyo !

Mengine yote ni hadithi za Alinacha tu !!
 
Akihojiwa na mwandishi wa habari, Mwenyekiti wa Chama cha CHAUMA ameshangazwa sana na namna DP World walivyopewa bandari zetu.

Mzee Rungwe amesema bandari zetu zilishauzwa tangu day one rais Samia alipokwenda huko Uarabuni mwaka jana.

Rungwe anasema hili jambo la uuzwaji bandari siyo zuri hata kidogo. Akasema kuwa viongozi wote waliopita walifanyw yao lakini hawakuthubutu kuuza bandari.

Mzee Rungwe akasema kuwa suala la bandarini ilikuwa ni issue ya management tu, ni bora hata ingekodishwa management nzuri iendeshe bandari badala ya kuiuza kwa mwarabu. Anasema kitendo cha kusema eti sisi hatuwezi kuendesha bandari ila mwarabu ndo anaweza ni matusi kwetu, maana atakachofanya mwarabu ni kuleta management tu na si kitu kingine kikubwa chochote. Akasema kuwa hata sisi tungeweza pia.

Unaweza kumsikiliza hapa:


Mzee wangu Rungwe kapigilia msumari kuwa Bandari ilishauzwa kitambo kazi kwenu CCM Wapinzani mnawakataa ila ukoloni mnaukubali.Ninyi mlikuwa koloni tangu 1977 hadi sasa na pindi Bandari itakapokabidhiwa rasmi kwa Waarabu mkubali tu kama tunavyowakubali kwa kila baya mnalolitenda Tanzania.Msije mkalia uhuru wenu mmeuuza wenyewe kwa sababu ya tamaa na kiburi .
 
Huyu Mzee ameshazeeka apumzike sasa alee wajukuu,hafahamu ya kuwa biashara za sasa zinaendana na influence ya muwekezaji, (chain types of tradings) unaweza weka managent hapo na ukapiga mihayo na mizigo ukapata kiducho,due to lack of influence!

Intelegent point ni tunataka Ku trade high au tunataka Ku trade low! We have to choose a way, mtanzania akishapata ugali kibanda Kagari ,haoni mbele tena !

-RAIS WANGU SAMIAH,SONGA MBELE LETS MOVES FORWARD NO TIME TO WASTE!
-Bandari ikiwekezwa vizuri ikaleta tija tarajiwa,waelewa tunafahamu ya kuwa makodi kodi ya hovyo yatapungua huku mitaani,au kufutwa,kodi za Magari zitashuka na mengi tu,kwa sababu SEREKALI itakuwa na vyanzo ambavyo havisababishi mtanzania kuminywa!/kukamuliwa hali ya watoto kupata bulga itarudi madaftari bure mashuleni itarudi na mengi tu.
Mamba kwa ubora wako.
 
Huyu Mzee ameshazeeka apumzike sasa alee wajukuu,hafahamu ya kuwa biashara za sasa zinaendana na influence ya muwekezaji, (chain types of tradings) unaweza weka managent hapo na ukapiga mihayo na mizigo ukapata kiducho,due to lack of influence!

Intelegent point ni tunataka Ku trade high au tunataka Ku trade low! We have to choose a way, mtanzania akishapata ugali kibanda Kagari ,haoni mbele tena !

-RAIS WANGU SAMIAH,SONGA MBELE LETS MOVES FORWARD NO TIME TO WASTE!
-Bandari ikiwekezwa vizuri ikaleta tija tarajiwa,waelewa tunafahamu ya kuwa makodi kodi ya hovyo yatapungua huku mitaani,au kufutwa,kodi za Magari zitashuka na mengi tu,kwa sababu SEREKALI itakuwa na vyanzo ambavyo havisababishi mtanzania kuminywa!/kukamuliwa hali ya watoto kupata bulga itarudi madaftari bure mashuleni itarudi na mengi tu.
Hela mlizohongwa mtazikunya
 
Back
Top Bottom