NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,423
- 2,414
Aisee...!
Kwamba kichwa kama Ngwair nacho hakiingii?
Flows na styles zao nadhani hazirandani ni kama vile umuweke Nas na Lil Wayne nafkiri.
Conscious bro...!
Aisee...!
Kwamba kichwa kama Ngwair nacho hakiingii?
Amani aka Beckham
Suma Lago kitambo sijamuonaa
Beckham Nkiwa dar nagongana naye
Hao wengn sijawatiaa machoni muda
Ila mwanangu kabsa block alikuwa chis na chis ndy alikuwa na connection sana washkaj
Ila kama unavyo jua Maisha yamebadilika
Utu uzima tena
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap yap Chisonde nafkiri yuko mbele na harakati mingine mkuu...!
Block 41 enzi za MirajiYah yuko mbele
Chis ndy alimkaribisha pfunk block41
Na ndy alikuwa mtu wke sana
Block kumepoaa sana
Harakati zile Hawana tena
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah yuko mbele
Chis ndy alimkaribisha pfunk block41
Na ndy alikuwa mtu wke sana
Block kumepoaa sana
Harakati zile Hawana tena
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Block 41 enzi za Miraji
Miraji..... Chis kmpaa sana hifadhi kwaoBlock 41 enzi za Miraji
Wakat walimlea...Hahahaha...!
"Tunashea kipolo cha wali uliobaki, Dingi kuingia Ikulu unataka kunish-taki...!"
Hahahaha...!
"Tunashea kipolo cha wali uliobaki, Dingi kuingia Ikulu unataka kunish-taki...!"
"wanasema mie mweusi kama mkaa kudadadeki natokea block 41 sio kijenge kudadadeki mistari si ya Kis**nge Kudadadake mwendawazimu sio FOGO" - Hashim Dogo Kikosi MixtapeHashim & Nash,wana Hip Hop wakubwa kabisa kutokea bongo,mwendawazimu na chizi wamekutana, sadly hashim hafanyi mziki siku hizi amekuwa sheikh swala tanoView attachment 1326732
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo Hashim - In The ShadowTafuta track ya tunasonga, na Kuna truck moja inaitwa shadow - - - ( Jina limentokaaa
Ana ngoma kali ni mwana hiphop mkali ambaye hajawahi tokea tz Yaani ni mkali
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
"Nilianza kuimba Hardcore Wadosi wakachomoa,banaa hiyo haipendwi tena inaboaa,Masikini wa bahati tajiri wa mikosi,mfungwa nje ya gereza ndio hukumu ya yangu kesi,nishatekwa na kikosi ila leo ni marafiki na sitolipa kisasi"Si ndy pale solo alitekwa mitaa ya langata kino
Na kikosi ila badaye wakaja kuwekana sawa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri sio lazima ufuatwe ni hiarinash ni msanii ambaye hataki ushauri
Ha ha yule jamaa bhanaHahahaha...!
"Tunashea kipolo cha wali uliobaki, Dingi kuingia Ikulu unataka kunish-taki...!"