mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,712
Dah ni kweli kaka maisha yamebadilika Sana sahv wanaoshinda maskani n wachache sanaKumupoaaa.... Maisha yanabadilika
Zamani hko ndiko pfunk alikuwa anashinda
Wasanii ilikuwa lazima wapite pande hizo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
una umri gani..?,
Hashim & Nash,wana Hip Hop wakubwa kabisa kutokea bongo,mwendawazimu na chizi wamekutana, sadly hashim hafanyi mziki siku hizi amekuwa sheikh swala tanoView attachment 1326732
Sent using Jamii Forums mobile app
"In the shadow of a dark destiny"
"HIV.i vitu viko wazi, kama vazi la kahaba
Nasambaza maradhi, halafu nakupa siku saba"
Hashimu nilikutana naye akaniambia alikuwa anazungumzia HIV hapo, nikaona ana mashairi ya sanaa kali sana.
Hashim "Dogo" - Shadow of a dark destiny | Bila Sanaa @ tzhiphop.com
Hashim "Dogo" - Shadow of a dark destiny by Bila Sanaa @ tzhiphop.com, Hip Hop music from Dar Es Salaam, TZ on ReverbNationwww.reverbnation.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Hashim Dogo wamekutana na Hashim KubwaHashim & Nash,wana Hip Hop wakubwa kabisa kutokea bongo,mwendawazimu na chizi wamekutana, sadly hashim hafanyi mziki siku hizi amekuwa sheikh swala tanoView attachment 1326732
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaharamu Sasa kawa Osama
Dogo hasheem vs Seif wamba hatari Hawa mazee
Sent using Jamii Forums mobile app
mwanazuoni mgeni, Pina mpk alijuaa kurap hwa sababu yke hashim dogo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la nash ni kujifanya kila kitu anakijua
Unajua hashim aliwahi kulalamika kuwa solo anaiga style na flow yke...
Mpk kisa kile kilitokea
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Pina alikuwa mbeba vyumaNa watu wengi wanajua Pina ndio kikosi.. huku bwana mdogo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi ilikuwa mwaka gani?Pina alikuwa mbeba vyuma
Ndoma lost Boyz walivyotingaga bongo
Wakina sugu waliwapa shavu la kukaa mlangoni
Ila wkt huo kikosi ilikuwa bado kulikuwepo na Indiana polis block41
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app