Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
,enheee ikawaje?Hii video nimeicheza kwenye dala dala. Kila mtu kageuka kuniangalia, embu muwe mnaweka angalizo basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
,enheee ikawaje?Hii video nimeicheza kwenye dala dala. Kila mtu kageuka kuniangalia, embu muwe mnaweka angalizo basi.
what the difference between keeping real and keeping right?Nash Emcee a.k.a uchebe chaka. Chizi wa mitihani.
Binafsi napenda flow ya Nash. I enjoy his rap.
-Kaveli-
yupo bongo nowNamkumbuka na jamaa mmoja alikuwa akiitea KIBACHA au KBC nae mwisho alifanya shooting ambayo kwa wakati ule ilikuwa kali sana,na alikuwa mkali pia,sijui yupo wapi.
Jamaa ni mbaya kwa kuflow kizungu@Alvajumaa,Tafuta track ya tunasonga, na Kuna truck moja inaitwa shadow - - - ( Jina limentokaaa
Ana ngoma kali ni mwana hiphop mkali ambaye hajawahi tokea tz Yaani ni mkali
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
hashimu bado anaandika sema amekuwa copy writer badhi ya matangazo kwenye tv na kwenye radio ni kazi yake huwa anafanya kazi na agency za matangazoHashim dogo ni moja kati ya ma mc ambaye alikua na uwezo mkubwa wa kupanga vina. ... Akifuatiwa kwa mbali...na Imamu Abbas....fanani wa ukweli ...japo Hawa wote hawakupata bahati ya kukuza carrier zao kutokana na changamoto tofaut tofaut za kimaisha .. but to be frank walikua na uwezo mkubwa Sana ...wanastahili heshima kubwa Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna goma moja la kalamashaka ft nazizi, jaymo, solo Thang, linaitwa mangirimaa... Nakumbuka goma hili aliproduce majani mwenye nalo alipandishe humu.... Vichwa ngumu tulisikie tukumbuke Enzi zile
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app