AsanteWasomi wa sasa huku kwetu (baadhi), hawaamini mambo haya, yaani wanaona kama ni mambo ya kutungwa tu. Ila namna Mungu, alivyo mwema, huwa anajidhihirisha kwao kupitia kuyaruhusu hayo madude yawatese, ndipo hukiri wenyewe baadae, tena kwa machozi haswa. 1Wakorintho 5:1-5
1Timotheo 18-20
Hayo yanatokea sana, tena sana tu, hutaki kuamini sawa, ila yapo na yanaendelea kuwatesa wengi.
Pole kwa huyo dada rafikiyo, ila kwa kuwa chanzo cha tatizo kishajulikana, anaweza kabisa kupata watoto, kwa kuanza kwanza kuyakana na kuyaangamiza yote hayo, pamoja na hao watoto, na itabaki kuwa historia tu.
Kutokuzaa ama kutokushika mimba, ama kutokuolewa, ama nuksi, kuna wakati ni Mungu, mwenyewe anazuia ili utukufu wake udhihirike, na utakapodhihirika atapata mtoto ama watoto.
Tobiti 6:14-18, 7:15-16
Kuna wakati mwanadamu mwenzio anaamua tu akufunge, hasa kwa kutumia nguvu za giza, yakiwemo hayo majini, ila akifunguliwa atapata tu watoto.
Mungu, ni mwema, anasamehe anajali, anahurumia, na haijalishi ni yapi uliyafanya huko nyuma kabla, ila ukirudi kwake Mungu, kikamilifu na kiuaminifu, atakujalia yote hayo.
Ahsante!
AsanteHaya mambo yapo!
Hiyo ni sipiritual husband!
Ss mumewe asimwelewe kvipi, si anaombewa linaondolewa basi maisha yanaendelea na anazaa na mumewe watt km kawaida!
Na kwanza km mumewe haamini haya mambo ya kiroho haina haja ya kumwelezea yote hayo ya nn!
Yy ataona mabadiriko tu!
Hamna hio story anavyo elezea kama ananisema mm hata mm yamenikuta hayoHii story nahic ni man made
Labda mpe pole kama ni kweli
Usilete utani mm nahangaika mwaka wa 5 nimeamua kua mpole na story hiz zinafanana utafikiri anae elezea ni mke wanguHao waliomuombea nao bado hawajielewi!
Hakuna kitu cha ajabu hapo!
Mwambie anichek,atafunguliwa na atazaa na mumewe na mumewe ataelekezwa ataelewa!
Wew ni kiongozi wa dini ? Unaonekana unafahamu vema kuhusu mambo ya rohoniHao waliomuombea nao bado hawajielewi!
Hakuna kitu cha ajabu hapo!
Mwambie anichek,atafunguliwa na atazaa na mumewe na mumewe ataelekezwa ataelewa!
Hilo neno mini lilinifanya niwahi kufungua huu uzi. Nlijua vimini vinazuia mimba. Haaaaahhhhhaaaaa.Rafiki yangu kipenzi,aliolewaga,ana miaka minne kwenye ndoa,hashiki mimba,pima vipimo vyote shida hainekani.japo kidogo huwa analalamika tumbo.
Ndoa yake haijachangamka.
Akasema aende kuombewa,ndio akawa anasema huyo jini kuwa amemuoa huyo dada,na tayari wana watoto!
Ni ngumu kuamini lakini ndio ivo!
Sijui ndoa yake itakuaje? Mumewe atampenda tena?
Atakuwa anajisikiaje?
Nilikua siamini mambo haya,ila nimeamini.
Mungu atulinde tusipatwe na mashetani na majini!
Nakosa cha kuongea...
Mwenye ushauri aweza share sababu nashindwa nielezeeje nieleweke!
Upo sawa sawa kweli wewe?Hakuna jini, shetani, malaika wala mungu.
Ni hadithi zisizo uthibitisho wala mantiki.
Hakuna jini, shetani, malaika wala mungu.
Ni hadithi zisizo uthibitisho wala mantiki.
Usilete utani mm nahangaika mwaka wa 5 nimeamua kua mpole na story hiz zinafanana utafikiri anae elezea ni mke wangu
Wew ni kiongozi wa dini ? Unaonekana unafahamu vema kuhusu mambo ya rohoni
NitakutafutaaaMi ni mtumishi pia nimepata neema ya kujua kiasi haya coz tupo field tunayaona haya kila siku na watu wanafunguliwa wanaendelea na maisha yao
Nitakutafutaaa
Kasome bible vizur, usituletee uzungu hapaHakuna majini wala mashetani.
Kama unaamini hayo mambo au kama ndo umeanza kuamini nakushauri uende ukapimwe akili.
Huenda umeanza kuwehuka!
= kumjuliaUmeeleweka vema kwa wale wajuvi wa mambo
na midhali amejikabidhisha kwa mola wake mwambie adumu katika maombi mwenyezimungu atamsaidia
JINNI ni kiumbe mwenye daraja la chini sana kwa mwanadamu ukimpatia na kumjuria
Rafiki yangu kipenzi,aliolewaga,ana miaka minne kwenye ndoa, hashiki mimba, pima vipimo vyote shida hainekani japo kidogo huwa analalamika tumbo.
Ndoa yake haijachangamka.
Akasema aende kuombewa,ndio akawa anasema huyo jini kuwa amemuoa huyo dada,na tayari wana watoto!
Ni ngumu kuamini lakini ndio ivo!
Sijui ndoa yake itakuaje? Mumewe atampenda tena?
Atakuwa anajisikiaje?
Nilikua siamini mambo haya,ila nimeamini.
Mungu atulinde tusipatwe na mashetani na majini!
Nakosa cha kuongea...
Mwenye ushauri aweza share sababu nashindwa nielezeeje nieleweke!
Nimefatilia mistari ya biblia uliyonukuu naona kama haihusian na mada hii, labda mimi sielewi, hasa ile Thimotheo!Wasomi wa sasa huku kwetu (baadhi), hawaamini mambo haya, yaani wanaona kama ni mambo ya kutungwa tu. Ila namna Mungu, alivyo mwema, huwa anajidhihirisha kwao kupitia kuyaruhusu hayo madude yawatese, ndipo hukiri wenyewe baadae, tena kwa machozi haswa. 1Wakorintho 5:1-5
1Timotheo 18-20
Hayo yanatokea sana, tena sana tu, hutaki kuamini sawa, ila yapo na yanaendelea kuwatesa wengi.
Pole kwa huyo dada rafikiyo, ila kwa kuwa chanzo cha tatizo kishajulikana, anaweza kabisa kupata watoto, kwa kuanza kwanza kuyakana na kuyaangamiza yote hayo, pamoja na hao watoto, na itabaki kuwa historia tu.
Kutokuzaa ama kutokushika mimba, ama kutokuolewa, ama nuksi, kuna wakati ni Mungu, mwenyewe anazuia ili utukufu wake udhihirike, na utakapodhihirika atapata mtoto ama watoto.
Tobiti 6:14-18, 7:15-16
Kuna wakati mwanadamu mwenzio anaamua tu akufunge, hasa kwa kutumia nguvu za giza, yakiwemo hayo majini, ila akifunguliwa atapata tu watoto.
Mungu, ni mwema, anasamehe anajali, anahurumia, na haijalishi ni yapi uliyafanya huko nyuma kabla, ila ukirudi kwake Mungu, kikamilifu na kiuaminifu, atakujalia yote hayo.
Ahsante!