Hashiki mimba maskini!, kumbe kazaa na jini!

Hashiki mimba maskini!, kumbe kazaa na jini!

Nimefatilia mistari ya biblia uliyonukuu naona kama haihusian na mada hii, labda mimi sielewi, hasa ile Thimotheo!

Mi sina biblia ya zamani!


Mkuu unaweza tuwekea hiyo mistari hapa!?
Msaada pls
 
Wasomi wa sasa huku kwetu (baadhi), hawaamini mambo haya, yaani wanaona kama ni mambo ya kutungwa tu. Ila namna Mungu, alivyo mwema, huwa anajidhihirisha kwao kupitia kuyaruhusu hayo madude yawatese, ndipo hukiri wenyewe baadae, tena kwa machozi haswa. 1Wakorintho 5:1-5

1Timotheo 18-20

Hayo yanatokea sana, tena sana tu, hutaki kuamini sawa, ila yapo na yanaendelea kuwatesa wengi.

Pole kwa huyo dada rafikiyo, ila kwa kuwa chanzo cha tatizo kishajulikana, anaweza kabisa kupata watoto, kwa kuanza kwanza kuyakana na kuyaangamiza yote hayo, pamoja na hao watoto, na itabaki kuwa historia tu.

Kutokuzaa ama kutokushika mimba, ama kutokuolewa, ama nuksi, kuna wakati ni Mungu, mwenyewe anazuia ili utukufu wake udhihirike, na utakapodhihirika atapata mtoto ama watoto.

Tobiti 6:14-18, 7:15-16

Kuna wakati mwanadamu mwenzio anaamua tu akufunge, hasa kwa kutumia nguvu za giza, yakiwemo hayo majini, ila akifunguliwa atapata tu watoto.

Mungu, ni mwema, anasamehe anajali, anahurumia, na haijalishi ni yapi uliyafanya huko nyuma kabla, ila ukirudi kwake Mungu, kikamilifu na kiuaminifu, atakujalia yote hayo.

Ahsante!
Amen[emoji120]
 
Jinni ni kiumbe aliyeumbwa na Mungu kama wewe bin adam,lengo lake la kuumbwa ni kama lako,ni kumuabudu aliekuumba.majinni ya meubwa kwa moto wakati binadam wameumbwa kwa udongo.Binadamu ndio kiumbe pekee duniani mwenye uwezo wa kutawala viumbe vyote ikiwemo na hao majini.
Tukirudi kwenye mada cha kumshauri huyo bi dada kama anaimani ya dini ya kiislamua awatafute mashehe wanaojua kusoma kisomo cha ruqya atapona kwa sababu kuna sura katika qur an zinaondoa hyo mambo na baadhi ya aya kama ayat qursii(kwa waislamu wanaijua kazi ya hii aya katika kutoa majini)
Hivyo ajaribu kuwatafuta mashehe wamsome kisomo cha ruqya yataondoka hayo
Kwa asiye amin majini kama anataka kuyaona kunaprocess za kufanya ila sikushauri ufanye hii kitu kwa sababu tunaweza kukuzika au ukapata ugonjwa au kuwehuka ukawa chizi
mahali majini wanapopenda kukaa ni maeneo ya makutano ya maji chumvi na maji baridi,mapangoni yaliyo karibu na bahari na chooni.
 
Jinni ni kiumbe aliyeumbwa na Mungu kama wewe bin adam,lengo lake la kuumbwa ni kama lako,ni kumuabudu aliekuumba.majinni ya meubwa kwa moto wakati binadam wameumbwa kwa udongo.Binadamu ndio kiumbe pekee duniani mwenye uwezo wa kutawala viumbe vyote ikiwemo na hao majini.
Tukirudi kwenye mada cha kumshauri huyo bi dada kama anaimani ya dini ya kiislamua awatafute mashehe wanaojua kusoma kisomo cha ruqya atapona kwa sababu kuna sura katika qur an zinaondoa hyo mambo na baadhi ya aya kama ayat qursii(kwa waislamu wanaijua kazi ya hii aya katika kutoa majini)
Hivyo ajaribu kuwatafuta mashehe wamsome kisomo cha ruqya yataondoka hayo
Kwa asiye amin majini kama anataka kuyaona kunaprocess za kufanya ila sikushauri ufanye hii kitu kwa sababu tunaweza kukuzika au ukapata ugonjwa au kuwehuka ukawa chizi
mahali majini wanapopenda kukaa ni maeneo ya makutano ya maji chumvi na maji baridi,mapangoni yaliyo karibu na bahari na chooni.
Majini kwetu ni mashetani kwani walikua malaika wazuri wakaasi hivyo hatuna majini wazuri na wabaya.
 
Kwa hiyo ameolewa na jinni au na huyo mwanadamu mwenzetu???
 
Upo sawa sawa kweli wewe?
Kwa nini unauliza?

Kuwa sawa sawa kukoje na kigezo gani kimekufanya upate swali hilo kwangu?

Mimi naweza kusema wewe kwa kuuliza swali hilo unanifanya nifikiri kwamba huko sawa sawa.
 
Huyo dada alikuwa na Spiritual Husband ambaye ni jini kwa maombezi atapona na adumu katika imani atakuwa sawa na upendo kwa mumewe utarudi. Maisha yatakuwa normal.
 
Back
Top Bottom