Nakosa cha kuongea...
Mwenye ushauri aweza share sababu nashindwa nielezeeje nieleweke!
Tobaaaa !Hakuna majini wala mashetani.
Kama unaamini hayo mambo au kama ndo umeanza kuamini nakushauri uende ukapimwe akili.
Huenda umeanza kuwehuka!
Hakuna jini, shetani, malaika wala mungu.
Ni hadithi zisizo uthibitisho wala mantiki.
Tobaaaa !![]()
![]()
vijana nyie mna tabu sana
hahaaaaaaaaa ila kweli haswaaaaMi mwenyewe hata sijakuelewa. Bora umejigundua mwenyewe hujaeleweka...
Mini skirt maana wajawazito wengine hawapendi kuvua nguo kabisa wanataka wazae nazo.mini ndo kiumbe gani hicho?
Mkuu haya madude yapo mkuu niaminiWenye tabu ni hao wenye kuamini katika mambo ya usasili.
Mkuu haya madude yapo mkuu niamini
mimi yashanichagiza sana na nishafanya nayo kazi mkuu na mpaka maskani kwao nishatimba na hata watu wengi walioletewa maudhi nao nishatibu
Kama unataka uyahakikishe naweza nikakuelekeza namna ya kufanya na ukameet nao hata hapo ulipo au kama upo sehemu inapokutanishaa maji ya mto na bahari ikifika alhamisi usiku saa 6 nenda hapo arafu utakachoshuudia ni pm uniambie nini umeona
Hata Mimi nilikua siamini kama wewe,ila acha nirudi kwa Mungu mbiombio,kuna mengi hatuyaoni ila yapo aisee.Hakuna majini wala mashetani.
Kama unaamini hayo mambo au kama ndo umeanza kuamini nakushauri uende ukapimwe akili.
Huenda umeanza kuwehuka!