Hashiki mimba maskini!, kumbe kazaa na jini!

Hashiki mimba maskini!, kumbe kazaa na jini!

Hata Mimi nilikua siamini kama wewe,ila acha nirudi kwa Mungu mbiombio,kuna mengi hatuyaoni ila yapo aisee.
Anasema alikua anaota tu ndoto anafanya mapenzi,ooh mara ana watoto.lakini yeye alichukulia ni ndodo za kawaida!

Mungu na hayo maruhani ni pande mbili za sarafu ileile tu.
 
huyo mume wake nae akimwacha sababu ya hilo atakuwa yeye ndo "anamatatizo kiwango cha lami..!!"
ifike hatua tuanze ku"reason" kwa logic sio unakurupuka unaambiwa basi unaamini tu!
 
Mungu ni mwema.
Naamini baada ya maombez atarud ktk hali ya kawaida
 
Hii story nahic ni man made
Labda mpe pole kama ni kweli
 
Kaka unalolote unaloweza kuongeza hapa mshana jr
Maana hii ni kweli imetokea! Na sitaki kuamini kuwa eti ni maigizo?
 
  • Thanks
Reactions: AHA
Wasomi wa sasa huku kwetu (baadhi), hawaamini mambo haya, yaani wanaona kama ni mambo ya kutungwa tu. Ila namna Mungu, alivyo mwema, huwa anajidhihirisha kwao kupitia kuyaruhusu hayo madude yawatese, ndipo hukiri wenyewe baadae, tena kwa machozi haswa. 1Wakorintho 5:1-5

1Timotheo 18-20

Hayo yanatokea sana, tena sana tu, hutaki kuamini sawa, ila yapo na yanaendelea kuwatesa wengi.

Pole kwa huyo dada rafikiyo, ila kwa kuwa chanzo cha tatizo kishajulikana, anaweza kabisa kupata watoto, kwa kuanza kwanza kuyakana na kuyaangamiza yote hayo, pamoja na hao watoto, na itabaki kuwa historia tu.

Kutokuzaa ama kutokushika mimba, ama kutokuolewa, ama nuksi, kuna wakati ni Mungu, mwenyewe anazuia ili utukufu wake udhihirike, na utakapodhihirika atapata mtoto ama watoto.

Tobiti 6:14-18, 7:15-16

Kuna wakati mwanadamu mwenzio anaamua tu akufunge, hasa kwa kutumia nguvu za giza, yakiwemo hayo majini, ila akifunguliwa atapata tu watoto.

Mungu, ni mwema, anasamehe anajali, anahurumia, na haijalishi ni yapi uliyafanya huko nyuma kabla, ila ukirudi kwake Mungu, kikamilifu na kiuaminifu, atakujalia yote hayo.

Ahsante!
 
sijaelewa! sasa si wamchukue huyo mtoto awe wa kwao!
 
Rekebisho;

1Timotheo 1:18-20

Ufafanuzi;

Kitabu cha Tobiti, kinapatikana kwenye Biblia zile maarufu kwa jina la Biblia za Kikatoliki, yaani zile zenye vitabu vyote 73

Ahsante!
 
Rafiki yangu kipenzi,aliolewaga,ana miaka minne kwenye ndoa,hashiki mimba,pima vipimo vyote shida hainekani.japo kidogo huwa analalamika tumbo.
Ndoa yake haijachangamka.
Akasema aende kuombewa,ndio akawa anasema huyo jini kuwa amemuoa huyo dada,na tayari wana watoto!
Ni ngumu kuamini lakini ndio ivo!
Sijui ndoa yake itakuaje? Mumewe atampenda tena?
Atakuwa anajisikiaje?
Nilikua siamini mambo haya,ila nimeamini.
Mungu atulinde tusipatwe na mashetani na majini!

Nakosa cha kuongea...
Mwenye ushauri aweza share sababu nashindwa nielezeeje nieleweke!

Haya mambo yapo!
Hiyo ni sipiritual husband!

Ss mumewe asimwelewe kvipi, si anaombewa linaondolewa basi maisha yanaendelea na anazaa na mumewe watt km kawaida!

Na kwanza km mumewe haamini haya mambo ya kiroho haina haja ya kumwelezea yote hayo ya nn!

Yy ataona mabadiriko tu!
 
Hakuna majini wala mashetani.

Kama unaamini hayo mambo au kama ndo umeanza kuamini nakushauri uende ukapimwe akili.

Huenda umeanza kuwehuka!
Nyani hawa watu hawabadiliki katu. Eti anaamini jini! Jini mbona haliendi benki kukusanya hela likaleta kwa huyo mganga/mwombezi, ila lina nguvu za kuzuia uzazi! Blood fool! Hayo hayo ya Mzee wa Upako, anakuombea eti upate scania tani 10 wakati huo huo anapokea elfu yako moja! Stupid!!!!
 
*Kaombewa ili ajue tatizo,na liondoke pia.

*mumewe hataki aombewe,yeye kalazimisha,afu inajulikana kuwa ana watoto na jini!
Na mumewe hupo mbali naye kwa sasa,ila anajua tu kuwa mkewe anaombewa.
Huyu dada ni rafiki yangu sana.ila alipoolewa mawasiliano na mazoea tulikata.
Na yeye ndio kanipa hiyo stori.
Na akaniuliza kama ningekua mimi ndio mwanaume, ningekubali kuendelea kuishi na mtu aliyezaa na jini?

Sikumkatisha tamaa,nikampa moyo.akafarijika.na nina imani ndoa yao itasimama daima!
tu,leo ndio nimeamini kuwa haya mambo yapo!
Ni kumuomba tu mungu atuepushe nayo!
Luv

Hao waliomuombea nao bado hawajielewi!
Hakuna kitu cha ajabu hapo!

Mwambie anichek,atafunguliwa na atazaa na mumewe na mumewe ataelekezwa ataelewa!
 
Hata Mimi nilikua siamini kama wewe,ila acha nirudi kwa Mungu mbiombio,kuna mengi hatuyaoni ila yapo aisee.
Anasema alikua anaota tu ndoto anafanya mapenzi,ooh mara ana watoto.lakini yeye alichukulia ni ndodo za kawaida!

Hizo ndoto zilikuwa ni halisi!

Lkn mbona haya mambo yapo ht sio ya ajabu!
Lkn akishaombewa inakatwa connection basi
 
Kaka unalolote unaloweza kuongeza hapa mshana jr
Maana hii ni kweli imetokea! Na sitaki kuamini kuwa eti ni maigizo?

Kumbe na ww mgeni kwny haya mambo!

Basi sisi church haya tunayaona kila siku na watu wanafunguliwa na maisha yanaendelea!na wanazaa vzr tu baada ya kuondolewa hayo ma roho!
 
Nyani hawa watu hawabadiliki katu. Eti anaamini jini! Jini mbona haliendi benki kukusanya hela likaleta kwa huyo mganga/mwombezi, ila lina nguvu za kuzuia uzazi! Blood fool! Hayo hayo ya Mzee wa Upako, anakuombea eti upate scania tani 10 wakati huo huo anapokea elfu yako moja! Stupid!!!!

Mkuu yapo yanaowaletea hela!
Na wwngine wapo humu watakwambia!

Mshanajr anajua!
 
mtafute MZIZIMKAVU mueleze shida yako atakusaidia au kukupa njia ya kufanya yupo humu ukimtafuta au kuwasiliana nae utampata.
 
Back
Top Bottom