Hasara za kuchelewa kuoa/kuolewa

Hasara za kuchelewa kuoa/kuolewa

senior bachelor tunakazi basi...!!!!!
 
Hata nanii anasemaga ivoivo lakini ni kiwembe cha jileti usiku kizani jiangalie weweeee ndoa kwanza kama ni kele weka empty cd
We una stress zako nahisi sasa unataka pa kuzishushia....nani kakwambia kuoa ni amri? Aidha huo umri ulioutoa nani kauweka kama limit? Single life is Great,Fantastic and enjoyable
-Hakuna wa kupigizana kelele
-Nakula,nalala,navaa nnavotaka..kokote nnakotaka muda wowote nnaotaka
-sihangaiki kumridhisha mtu.
-i have my strenghts and focus on other issues,charity,development,fun fun fun
and most of all...i dont have to put up with these corrupted of so called relatioships of these days.........
ahahahaha Happy and proud and praying to be single now and forever
amen! 😛ray2:
 
Unajua ukiwa kijana hatuwazi siku moja kuwa wazee, sishangai kwamba wengi hawatakuelewa kwasababu Mungu ameweka umilele ndani ya mioyo yetu...
 
Piga hesabu, Mtoto form one atakuwa ana miaka 14. Je Baba atakuwa na miaka mingapi?

Atakua na 90😕
Duh......99% atakua ameshakufa. Mnatujazia mayatima tu na kutesa watoto kwa kukosa malezi🙁
 
Asavali Slaa kwa kuwa ana chenji anaweza kuacha urithi....sasa wenzangu na mie ela hai seviki afu unazaa uzeeni...si kuwaachia watu majukumu.Lol.

Kurudi kwenye mada...imetulia ...ingawa maisha ya sasa yako complicated.

Nilisoma article moja wanaongelea wanawake UK kuzaa wakiwa over 40; na si kwa kuwa hawana ndoa...ila wako busy ku build career...watu wanaoana lakini wanasubiri kwanza mambo yawanyookea ndo wazae.

Sasa wataalamu wakawa wanasema siku hizi watoto wenye matatizo ya ubongo ni wengi UK sababu ya kuzaa na umri mkubwa...ingawa walikuwa wanaona ni challenge kwa kuwa maisha yamewapa majukumu wanawake kiasi kuwa kuzaa imekuwa wastage of time; wako kwenye dilemma kuchagua kati ya kuzaa na kulea ama kazi...sijajua kama hii ina apply TZ na kiasi gani....maana wanawake wengi hawako kwenye ajira rasmi.


Atakua na 90😕
Duh......99% atakua ameshakufa. Mnatujazia mayatima tu na kutesa watoto kwa kukosa malezi🙁
 
Ndoa, ndoa ndoa... hii kitu ni muhimu mno, tena muhimu hasaaaa hususan kwa wanaojitambua, na utamu zaidi unakuja pale utakapoingia kwenye ndoa hali yakuwa umri haujaenda saaana, yani unakuwa pamoja na mwanao ni raha aisee, maana kama Mungu Atakupa umri mrefu kidogo na akakujaalia watoto wenye kheri utapata raha sana maana hutopata tabu uzeeni maana vijana nao watakuwa wameshakuwa na majukumu mengine watakusaidia.

Ni vyema kuoa mapema na pia suala la muhimu tumtangulize Mungu mbele, tumuombe atupe watoto ambao watakua na kheri hapa duniani maana waswahili wanasema... kuzaa si kupata, kupata majaaliwa,hii inamaana kuwa waweza zaa mapema lakini watoto wakawa ni kero kwako, mathalan wakawa wavuta bangi, machangudoa nakadhalika.

Ushauri: Tumtangulize Mungu na pia tujitahidi sana katika malezi hususan katika kipindi hiki ambacho ni kigumu mno kwa maana ya huu utandawazi na ugumu wa maisha mpaka inafikia sisi wazazi tunarudi nyumbani usiku tunakuta watoto wamelala hatujui wameshinda vipi, wamekula vipi na mambo mengine. Tuwalee katika malezi ya kumuogopa Mungu.
 
Kwamba age ya kuoa na kuolewa ni ipi hasa
 
Eti kuzaa mapema huku ukitegemea ukiwa mzee wanao hao watakupiga tafu nI uvivu wa kufikiria. Kwan mwanao kakupigia simu umzae? Jipange kwanza ndiyo uzae.
 
Mmmm acha 2fanye mpango kabla age haijaenda.
 
Mtoa maada inaonyesha una pointi, lakini umechanganya mambo. wWewe ungeelezea tu umri sahihi wa kuwa na watoto kiafya na kimalezi,ndoa haimaanishi watoto wala umri,ndio maana kuna watu wanaoana wana miaka 60, au zaidi!

Kuna watu wameoana wakiwa kwenye mid 20s lakini hawajajaaliwa watoto,kuna watu wana umri mkubwa na wanazaa, so ushauri hapo labda ni kwa watu wanaoplan kuwa na watoto wheather wapo ndoani au la wazingatie hayo uliyosema, na sio kila tamaduni inaamini kuwa lazima uwe kwenye ndoa ndio uweze kuzaa!
 
Kumbe nakaribia 32.... inabidi nipigane kufariki na kupona niolewe mwaka huu kabla sijafikisha 32yrs lolest!!!
 
Kuna madhara mengi sana ya kuchelewa kuoa. Kuna Jamaa alibalehe mwaka 2001 mpaka leo ajaoa . Sasa saizi amerudi udogoni anaongea na watoto waliozaliwa 2000.

In short amekuwa mdogo. Mdomo unakuwa mzito, anashindwa kutongoza.
Wazazi tuwaolee vijana wetu.
kuruka kwa akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom