Nashindwa kuelewa inakuwaje mtu amekaa ofisini mwaka mzima, katengeneza hasara, lakini bado yupo ofisini, what are they doing in office? Kwa nini mwenye mamlaka asimalizane nao wakalime matikiti?
Ajabu sasa, mwenye mamlaka won't care, wataendelea kutumikia nafasi zao huku wakitengeneza hasara kila siku.