Wapi kwenye afadhali? Mbona kila mahali ni majanga?? Mwisho wa siku mwananchi ndio anabeba mzigo wote huu. Halafu mazwazwa yako busy kusema tano tena. Shame.!
Credit: Maudhui ni Malisa G.JView attachment 3284924
😥 Hii nchi na bado wananchi maisha magumu..!!
Sawa mwana mpinzani🥱😭😭😭😭✌🏿