au hata almannusra......
What happened?
Boflo ndo nini kukumbushana machungu? Sitokaa nisahau. Angalau nilimkumbuka binti yangu, nikazama chumbani na kutoka naye nikipita katikati ya moto, nathubutu kujiita baba shujaa.
By the time namkabidhi binti kwa majirani ilinisaidie kuzima moto, ndo nikagundua wife kalala chali, kishazimia saa nyiiingi! Harakati za kusaidia kuzima nikazipotezea nikawahi kumkimbiza wife hospitali. Ndo pia nikathubutu kujiita mme shujaa.Kweli unajali....na wakati huo mke naye alisalimika??
You can say that again.duh! Kweli huo ni ubaba shujaa,
au hata almannusra......
What happened?
daaah pole sana mkuuHii habari acha kabisa Boflo! Sikia kwa watu yakikukuta utatamani ardhi ipasuke! sisahau ilikuwa tarehe 06/07/2011 usiku wa kuamkia saba saba kama saa kumi hivi alfajiri. Moto ulianzia kwenye meter ya luku ukakamata cilling board! acha ngoja ninyamaze maana nikikumbuka nashindwa kuelewa nilifanikiwa je kuuzima! Ni Mungu anajua.
Asante sana. Nashukuru Tanesco walinipa meter mpya baada siku tatu hali ikarudi sawia.daaah pole sana mkuu
Kiukweli kabisa mkuu, haya mambo yasikie tu kwa watu!Hii habari acha kabisa Boflo! Sikia kwa watu yakikukuta utatamani ardhi ipasuke! sisahau ilikuwa tarehe 06/07/2011 usiku wa kuamkia saba saba kama saa kumi hivi alfajiri. Moto ulianzia kwenye meter ya luku ukakamata cilling board! acha ngoja ninyamaze maana nikikumbuka nashindwa kuelewa nilifanikiwa je kuuzima! Ni Mungu anajua.