Jmani banana zoro ana wimbo wake ule, nishike mkono, nishike kiuno, nakupenda mpenzi,
yaani waliimbiwa maharusi niliwasindikiza, looo niliona ni mzuri sana, aliimba live
Tf kumbe na wewe hii lugha ya Taifa nogimanya? kyonka bojo!Hahaha!!! Kashwagala bana natumaini Omushwago tigwakukwata....
mwaga razi Asha eeeeenheee ilikuwaje?aiseee Speaker nilikusahau..... Dah! Sijui nitoe hongera na hio Avatar....
Asante..... but it was worth it... alafu sikutoa bana.... Speaker bana.
Hii nayo huwa ni balaa, yale madikodiko wanakulaga kwa uroho maana baada ya muda mfupi wanatoaBwana anakula solo, solo la manyamanyama, baasi hapo bwana si miuno na mihela kutunzwa
Mkuu ni wewe...!
Naona hata maudhui yako yamebadilikabadilika hivi...!
aiseee Speaker nilikusahau..... Dah! Sijui nitoe hongera na hio Avatar....
Asante..... but it was worth it... alafu sikutoa bana.... Speaker bana.
Kubyala ng'wana ngosha kwilolela bhano kaganda kaganga
Mlemona nu nina o Nzagamba
Alibina wisunda sunda
Mlemona nu ise o Nzagamba
Aliniba wisunda sunda
NB: Y'all be on the lookout for my mixtape coming soon to a store near you!
Mi sijaolewa afro ngoja nichukue manyimbo hapa.
Wale soleli chagejo, chaaaa,Ng'wanikee tolinge hongwa shombe,...
tolagage manumba tosage kosaka basomba
hahaha,long time n i miss home
Why embarrassing dadaa??ha ha ha..... Umenikumbusha mbali....
my first wedding niliimba a Whitney Houston
Song.... Sasa when i think of it.... EMBARRASSING....lol
Afrodenzi unaujua ule wa....koicho tirotirotiro....koicho tirotirotiro...koicho tirotirotiro...wako (hapa unataja ukoo husika)....wakupaya....wacha kabisa hii si mchezo...the best harusi song ever
Wale soleli chagejo, chaaaa,
kwembale kachajaga,chaaaaaa
okozugale kachajaga, chaaaaa
nenete na mayo, chaaa
jagi mkatomamile chaaaaa
wantwalaaa ngw'ana wiswe...............