Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Mimi kamati ya mapambo
Mwana JF mwenzetu ZEMU atafunga ndoa mwezi wa 7 kule Tanga( rejea thread yake mwenyewe:kitu kizuri kula na wenzio):Je kama ni kamati ya maandalizi unaona hapa JFnani anafaa kuwa mwenyekiti wa kamati ya:
1.CHAKULA
2.VINYWAJI
3.ULINZI
4.USAFIRI
5.BURUDANI.
naaaaah naa MC,kukaribisha wageni,naaaaah naaah labda atahitaji wadhamini,je nani awe
mdhamini wa bwana arusi na nani awe mdhamini wa bi arusi?
Hicho kitengo cha pili naomba nipewe mimi!Mwana JF mwenzetu ZEMU atafunga ndoa mwezi wa 7 kule Tanga( rejea thread yake mwenyewe:kitu kizuri kula na wenzio):Je kama ni kamati ya maandalizi unaona hapa JFnani anafaa kuwa mwenyekiti wa kamati ya:
1.CHAKULA
2.VINYWAJI
3.ULINZI
4.USAFIRI
5.BURUDANI.
naaaaah naa MC,kukaribisha wageni,naaaaah naaah labda atahitaji wadhamini,je nani awe
mdhamini wa bwana arusi na nani awe mdhamini wa bi arusi?
mimi naweza kuwa mdamini wa bwana harusi,kama atapenda
we uko mbali bwana, hicho ktengo watakuzidi kete wenzio.hicho kitengo cha pili naomba nipewe mimi!
hiyo ni habari njema,kumbuka kuwalea wana ndoa haiishii ukumbini tu.chipukizi hiyo avatar yako mweh, kweli raha jipe mwenyewe.....
Mwana JF mwenzetu ZEMU atafunga ndoa mwezi wa 7 kule Tanga( rejea thread yake mwenyewe:kitu kizuri kula na wenzio):Je kama ni kamati ya maandalizi unaona hapa JFnani anafaa kuwa mwenyekiti wa kamati ya:
1.CHAKULA
2.VINYWAJI
3.ULINZI
4.USAFIRI
5.BURUDANI.
naaaaah naa MC,kukaribisha wageni,naaaaah naaah labda atahitaji wadhamini,je nani awe
mdhamini wa bwana arusi na nani awe mdhamini wa bi arusi?
Mimi kamati ya mapambo
Yah kwanini usiombe ulinzi?
Mi naona Jery Muro ndo umwachie hiyo kazi ya kuvisha pingu!!Mi ntawavalisha hizo pingu
Mi navojua nilizaliwa kwa ajili ya kazi moja tu.
Nipeni hiyo kazi tafadhali.
halafu baba askofu samahani,huyo ulie nae karibu ni mke wa mtu/msichana?naona kila mara uko nae beneti, je?hakutii majaribuni?Mi ntawavalisha hizo pingu
umesema kitu cha maana sana,ngoja kwanza si unajua? mjini hapa,au wewe unamjua vilivyo ZEMU?Kwenye hii issue mbele yetu mbona siuoni uhamasishaji ??
Tunamsaidia vipi mwenzetu huyu bwana harusi
FLI,JIMMY,mwanakijiji naona kama mnafaa kuwa ma MCUlinzi hapana nataka sehemu yenye kuhesabu pesa ...