umetisha mkuuKwahiyo jamaa anajipigia pumb. U anakafaidi.halafu kanaonekana mnato
Ni mchungaji wa kulipwa huyoMchungaji ni Yanga au CCM
Hapana UMEKOSEA. Hio ni harusi. NDOA NI KITANDANI ndio maana hata TENDO HUITWA LA NDOA SIO HARUSI. Tunachokiona kwenye picha ni harusi sio ndoa. Ndoa ni wao wawili.Sio harusi hiyo ni ndoa,harusi ni Yale masherehe mnayo fanyaga ukumbini na mbwembwe zingine kama kutembea barabarani na magari ila kanisani hakuna harusi kanisani kuna ndoa tu.hapo wanafunga ndoa ila huwezi kufunga harusi.harusi haifungwi ila harusi inasheherekewa.
hiyo ni ndoa,harusi ni Yale masherehe mnayo fanyaga ukumbini na mbwembwe zingine kama kutembea barabarani na magari ila kanisani hakuna harusi kanisani kuna ndoa tu.hapo wanafunga ndoa ila huwezi kufunga harusi.harusi haifungwi ila harusi inasheherekewa.
Hahaaaa hiyo Yanga ama ?View attachment 464360 huyu wa kushoto ameharibu ndoa lazima itakuwa na mabaka mabaka mbeleni
Kile kitendo cha kitandani kinaitwa kitendo cha ndoa kwasababu kinatakiwa kufanywa na watu waliopo kwenye ndoa kama hanjafunga ndoa hilo tendo ni ngono kama ngono nyingine(uzinzi).ndoa ni pale mnapokula kiapo cha kutunzana mpaka mwisho wa maisha na kudumu kwenye shida na raha na kisha mnavishana Pete(haya yote yanafanyika kanisani).lakini baada ya kufunga ndoa hapo inafuata harusi ingawa sio lazima kufanya harusi ila ni uamuzi tu wa wahusika,harusi ni shamrashamra,sherehe na Yale mambwembwe kibao yanayofanywa baada ya ndoa wengi hukodi ukumbi na kualika watu kujumuika nao pamoja,na kama umeshawahi kupokea kadi ya mchango basi huwa wanaomba mchango wa harusi na si mchango wa ndoa,ndoa hailipiwi ila inafungwa bure tu.kama harusi ingekuwa inafungwa basi hata sherehe za happy birthday nazo zingekuwa zinafungwa.Mkuu hujawahi sikia watu wakiachana huwa wanasema ndoa imevunjika ila huwezi kusikia harusi imevunjika kwasababu harusi ni kitendo cha muda tu ila ndoa inaanza pale unapoifunga kanisani na inaisha siku utakayozikwa.au mtakapo achana kwa maamuzi maalumu.Hapana UMEKOSEA. Hio ni harusi. NDOA NI KITANDANI ndio maana hata TENDO HUITWA LA NDOA SIO HARUSI. Tunachokiona kwenye picha ni harusi sio ndoa. Ndoa ni wao wawili.
Ukimkuta oa fastahaswaaa... na hyo ndo ya kweli maana wadada umkute ambaye atakubali ivo ni wachache sana kama huyo....
huyo mwanamke kanuna kinomanoma
Hakuna harusi ya kimaskini ... harusi ni harusi tu mengine ni mbwembwe tu!
it's true umeongea kitu