Sir Lindege
Member
- Sep 10, 2013
- 34
- 180
Ukioa ndio vinaongezeka.Vimada sasa kwaheri
Hahahaaaaa shubaamitikwa iyo sasa hivi atakua anavaa nguo za huyu mke wake
Anaona wivu na yy alikua anamtaka huyo mdadaJoseverest.
Nimechekaaaa! Eti atakuwa anavaa nguo za huyu mke! Mnyalukolo huyu na vituko vyake anaweza!kwa iyo sasa hivi atakua anavaa nguo za huyu mke wake
JOTI mbona anaacha kiduku hicho kanisani hilo kanisa wanamwangalia tu??? hovyo kweli mnauchafua ukristo nyie.