dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,475
- 2,079
Kipi muhimu zaidi 'Kujamii-ana' au Kujenga viwanda.Socialization kwake ni msamiati
Sijaweka alama ya kuuliza hivyo-usinijibu.
Kipi muhimu zaidi 'Kujamii-ana' au Kujenga viwanda.Socialization kwake ni msamiati
Kamnyima kalio.Mungu kamnyima nini?
Wewe itakuwa akiba yako ya Viroba haijaisha.
Wazee wa gambushi, vinyamkera na kina makata walifurikaHata robo haifiki looh ya kwetu ilikuw ya kimatifa mme
umeongwa nilichokuwa nakiwazaJK ni namba nyingine aisee ndio maana wawekazaji walijaa anajua kusocialize nao
Chacha mura.ndio diamind arikuwepo muraaNa diamond arikuwepo pia
Mkuu, 'Biri geti' ndo nani?Biri geti alikuwepoView attachment 724193
Ndo anaitwa 'Biri geti' ??Lafiki ake Ariko
Hii nayo ilikua harusini? au nyumbani kwa bwanaharusi akihudumia watoto maana naona pipiAngeshauri pipi na juiceView attachment 724462
Mwandiko wako ukoje siku hizi?Lafiki ake Ariko
Spati picha vyakula vya humo ndani akila msukuma lazma aharisheJ. K mzee wa boda 2 boda arikuwepo piaView attachment 724202
mkuu nilivyoiona hii posti yako ghafla nimecheka kwa sauti hadi watu wananishangaa..angeaza kusema jamani tuwe tunabana matumizi
Kino ziliisha labda nifanyie kazi nyingine.Kamnyima kalio.
Vipi frem zako za kinondoni bado zipo??
Nitajie wapi aliwahi kuhudhuria sherehe ...Mbona magu simuoni?

Kuna bichwa hapo kama nalijua??Spati picha vyakula vya humo ndani akila msukuma lazma aharishe
ana shida gani bwana ...mambo ya kukimbizana The Hague Uholanzi na kukimbia kimbia usiku kwenye ndege kazi gani bwana...yuko huru hata kula ugali na jirani zake pale Msogamzee anakula mema tu


huendi kienyeji enyeji kwa hao wadada