Harusi bab kubwa ndoa chali

Kuna watu wengine hata wakioana basi kichwani mwako huwa unajiuliza mara tano tano kama hiyo ndoa itadumu, kutokana na kuwafahamu kwako wananfoa. Nahisi ndivyo ilivyokuwa

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
 
Mkuu ndoa haijafa ila wametengana tuu
Sheria ya ndoa inataka mpaka mmalize mda wa miaka miwili ndipo mpeleke petition ya kunullify marriage

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi harusi wanatufanyia mbwembwe nyingi siku hizi nimeacha kuchangia huu ujinga.
Mwingine unakuta kaishi na mwanamke miaka 5 Wana watoto kabisa aafu anakuja kutuchangisha michango ya harusi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Unamficha mtu ambaye atakuwa mumeo jambo kubwa kama hilo la kuwa mtoto?...hili ni kosa kubwa sana...
 
Sio kweli. Ndo inavunjika saa yeyote from miaezi mitatu sema kuna tofauti.
1. Baada ya miezi 3 mkashindwana na wote mkaridhia kuvunjwa ndoa basi ndoa inavunjwa na mahakama muda wowote mkifata taratibu.
2. Ndoa inaweza kuvunjwa baada ya miaka miwili hadi mitatu pale kunapokuwa na kuridhia kuvunja kwa upande mmoja wa mwanandoa. Ikiwa ametaka tuu mmoja wetu basi mnapewa separation ya miaka miwili hadi mitatu mkajitathimini then mkirudi tena hata kama kutakuweo na upande ambao haujaridhia basi ndoa itavunjwa kutokana na kukosekana kwa mahitaji ya muhimu kwenye ndoa
Mkuu ndoa haijafa ila wametengana tuu
Sheria ya ndoa inataka mpaka mmalize mda wa miaka miwili ndipo mpeleke petition ya kunullify marriage

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Cheat on my bitch, she know I'm dishonest
But I'm just a product of my environment
 
Bi harusi hakumjulisha shemeji kama ana mtoto (5 yrs old)

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahaha

hahahaahahahahahah


Aiseee mimi manzi siwezi sex nae nisijuee huyu kazaa .

Kuna manzi mmoja nilikuwa naee ila nilimpata baada ya yeye kuwa na matatizo mwaka 2013.

Sasa alikuwa ni mkali yani hataki mazoea. Ila kutokana na shida ikabidi awe mpolee nikala. Nikakaa siku mbili nika mwambia kuwa una mtoto. Demu aligomaa ila akaja akakubaliii mwishoniii. [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mkali
Kuna chalii mmoja 2016 hekaheka za Geah Cloudsfm, aliambiwa ametoa bikra BINTI wa miaka 16 kumbe dada ana miaka 32 na ana watoto 4, kaja kustuliwa baadaya ndoa kufungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…