Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,575
- 12,368
- Thread starter
- #21
Yaan kaifrahia hasa, hata hajataka kuuliza tatzo kakimbilia kufungua uzi JF
Namweka sawa akae sawa msije mkataa kwenye utambulisho.Imekuaje mimi dada wa bwana harusi siyafahamu haya?
Mkuu na mimi nipo kwenye hatua za uchumba na mdada mmoja wa JF...tupe mchango wako tufunge ndoa.
Siupo nje mkuu....kuna mpesa huko?
Mwaka jana mwezi wa 9 nilipokea text WhatsApp kutoka kwa ndugu yangu (mdada) ya mchango wa harusi.
Mzee mzima nikajichanga nikarusha 50,000/- Mpesa kupitia kwa msela Wangu yupo bongo japokuwa nipo nje ya nchi.
Harusi ilikuwa mwezi 12 siku 4 kabla ya Xmas.
Nikasema mambo si ndo Hayo nikarudi Tz kusalimia home na harusi juu.
Harusi bab kubwa tulikula tukanywa soda na gambe la kufa mtu, hadi kwa sisi wadau wa rubisi na karobo na senene zilikuwepo.
Bibi harusi na farasi alipanda honeymoon Mauritius.
Khe Leo napata habari ndoa imekufa.
Kwa kweli nimesikitika ila kimoyomoyo nasema bora nilirudi kula kuku Wangu niliochangia.
50 yangu haikwenda bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nimejikuta nasikitika sana, ingawa siwajui wana ndoa haoYaan kaifrahia hasa, hata hajataka kuuliza tatzo kakimbilia kufungua uzi JF
Duh kilo mojaSiupo nje mkuu....kuna mpesa huko?
Jina langu Daby Ole Nale. Fanya mambo western union mchango wa kima cha chini kilo moja.
isiwe ya kilokole aisee, tar ya harusi lini nione kama naweza pâta nafasi ya kuja kula nitakacho changia. Niliwaona ndugu kwahiyo sio hasara sana.umesahau hasara ya nauli uliyopata kutoka huko duniani kuja bongo...
mwana kama hasara ulikula sema haujui ulikula vipi..
Kama ni kweli, inasikitisha mno.
Yaan kaifrahia hasa, hata hajataka kuuliza tatzo kakimbilia kufungua uzi JF
Kama ni kweli, inasikitisha mno.
Ndoa ina mambo mengi, mkifanikiwa kudumu unamshukuru Mungu. Hapo wahusika sijui wana hali gani maskini
Iwe hvyo, mara nying mambo ya kuvunjika kwa ndoa mwisho wake hua sio mzuri sana
Fanya hvyo, umfariji rafki yako